LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Palestine hata waungane na dunia nzima still hawawezi futa taifa la Israel, never! Kuna vita itakuja ambapo mpinga Kristo atajaribu kutaka kuifuta Israel still naye hatofanikiwa.
Kwenye Zekaria 2:8 Mungu anawaambia wana wa Israel "Hakika, anayewagusa nyinyi anagusa mboni ya jicho langu." hii ni kuonyesha how God is serious na taifa lake aliloamua kujifunua hapa duniani. Usicheze na Mungu inapokuja issue ya Israel na ndiyo maana now Iran karuka kimanga kasema aku sikuwasaidia Hamas miyeee, maana anajua jews ni watu gani scientist wake wa nyuklia wengi sana wameuwawa na Israel hivyo anajua Israel hatanii inapokuja kupigania usalama wake.
Netanyau anakwambia "Retaliation against Hamas has only just begun" Israel will use "enormous force" against the Hamas militant group.
Watu hawana supplies ya maji, umeme, mafuta, chakula yaani Gaza imehusuriwa kuna nini tena hapo!
Wahenga husema usianzishe vita ilhali upo kwenye nyumba ya vioo, ndicho kinachowakuata Palestine, mwisho wa siku hasara kubwa sana sana itakuwa upande wa Palestine sasa faida gani itakuwa wamepata! na kibaya waarabu wenzao waliowajaza maneno juzi juzi leo hawana cha kuwasaidia ndiyo kwanza wanajadili amani iwepo hivi mtu kama Netanyau atataka amani tena?
I understand....
Ss wale wabishi wa humu ndo nawambia tusubiri tupate majibu maana wanaamini Israel atapigwa
Na wamefurahi sn kuvamiwa na watu 600 kupoteza maisha
Ss watulie
 
Bibilia? Mbona taifa ilo linaipinga alaf nyie mnaitetea huoni una tatizo la kiutumwa hapo
Wala siyo kweli. Hawana tu injili, the rest ni copy and paste, injili ni agano la kale lililorahisishwa tafsiri
 
Imagine umetekwa na unapewa HIYO taarifa kwamba kila shambulio litamaanisha kuchinjwa kwa kukatwa shingo na kisu na ndio mwisho wa wewe kuwa hai hapa duniani unaondoka duniani kwa maumivu makali sana hata kale ka imani ka kubadilishana wafungwa hakapo tena POW SWAP DEAL hivyo kufa wewe ni 100% kinyama na kikatili kisu kinapenya shingo na macho kuanza kuona giza na hatimaye unaanza kujisaidia na kukojoa kwa maumivu makali ya kisu kukata mifupa duuuuuuuh.
inasikitisha sana asee.
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
Mbona hawajamalizia sentence? Si waseme wakishamaliza kuwachinja na wenyewe watajiua.

Katika hesabu zao walijua watakamatwa hivyo wakaondoka na mateka ili baadaye wataka prisoner exchange.
Wameanza asubuhi kutaka wenzao waliopo magerezani waachowe ili na wao wawaachie mateka, hakuna aliyewajibu.
Sasa hivi wanatishia kuua, lakini hakuna anayewajibu.
Israel this time hawana mpango wa kukamata na kufunga mtu, sasa hivi wakikamata mtu wanaua, hawawapeleki popote
IMG_20231009_165344_207.jpg

 
Hezbollar wamejazwa ujinga wakajaa, sasa na wao wameanza kufyekwa.

Haba walijaribu kutaka kuvuka mpaka, wakazimishwa
View attachment 2777084

Huyu ni mmoja wa Makamanda wao. Ameuawa leo.
View attachment 2777085
⚡️#BREAKING Hezbollah announced the death of “martyr Mujahid Hossam Muhammad Ibrahim “Hussam Aitaroun” from the southern town of Aitaroun, who passed away as a result of the Zionist aggression against southern Lebanon this afternoon, Monday 10/9/2023.”

View attachment 2777088
⚡️#BREAKING Ambulances ikiondoka Beirut kuelekea kuelekea kusini mwa Lebanon baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Hezbollar.
Aisee
 
Kinachiendelea huko gaza ni uhalifu na ukatili mkubwa dhidi ya binadamu. Kinachofanywa na jeshi la israel ni uhalifu wa kivita na ni ukatili wa kibinadamu. Jumuiya za kimataifa ziingilie kati huu unyama unaoendelea kule kufanywa kule gaza dhidi ya watoto na wamama wa kipalestina.

Nimeona video nyingi za kuogofya na kusikitisha. Hii nguvu waalotumia jeshi la israel dhidi ya raia wa kipalestina ni kubwa mno. Tuyalaani matukio ya kinyama yanayofanywa na jeshi israel kwa raia wa palestina.
Hakuna Cha kulaani hapo nani Mkorofi Yani unaenda kuvamia Taifa ambalo limekuzidi Kila kitu mbaya zaidi Kila huduma za jamii wanakupa wao!! Ngoja wapigwe maana wao ndo wamechokoza.
 
Back
Top Bottom