matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Israel wanajuaje latest location ya hamas gaza, wakati hawakujua wameingiaje nchini mwao au mipango kabla ya kuingia?
Najiuliza
Najiuliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya mwezi mmoja usiache kuja kutoa mrejesho tena hapa na uendelee kusimamia hii kauli yako.
Ooh kwahiyo ilikuwa Halali kuuliwa au kuambiwa waondoke?Hao raia walikuwa kwenye ardhi ya wapalestina inayo kaliwa kwa mabavu.
Hakuna Mkristo anatumia hilo neno, hata kwa kiarabu. Na Wakristo wa kiarabu ni mateka wa Waarabu waislam kwenye ardhi yao hiyo hiyo, au unadhani tumesahau matukio ya kuwapiga mawe wanayofanyiwa ma "waarabu" wenzao kisa dini yao? Na hawasemi Allah, wao wanaita Illah they don't belive in God called Allah. Usitulishe propaganda. Umekazana makanisa, makanisa wakati 99.9% ya Gaza ni waislam, we vipi.Hata mandela aliitwa gaidi.
Mapapai si mnajulikana mnafata mkumbo tu.
Allahu Akbar ni maneno ambayo pia hutumiwa na Wakristo wanaozungumza Kiarabu, "Mungu" kutafsiriwa "Allah" kwa Kiarabu. Maneno hayo yanatumika katika muktadha wa kiliturujia miongoni mwa Wakristo wa Palestina, na matumizi yake yametetewa na Theodosios, Askofu Mkuu wa Kiorthodoksi wa Palestina wa Sebastia. [33]
Wewe neno Allahu Akbar likimaanisha Mungu ni Mkubwa (God is great) linakukera nini? Au ni shetani wewe?
Mkuu unapingana na maandiko?[emoji1787]Ugomvi uneanza baada ya Kutangazwa taifa la Israel baada ya vita kuu ya dunia..
Inanihusu kwa sababu sisi wote ni binadamu. sehemu yoyote ninapoona kuna dhuruma na haki za binadamu zinakiukwa, huwa roho yangu inaniuma sana na kushindwa kukaa kimyaWEWE KAMA MTANZANIA WA KAWAIDA HIYO VITA INAKUHUSU NINI?
Nimeangalia news jioni hiiYetu macho nmeona clips zao watia huruma kwa kwel
Kama Wayahudi halisi wako Ethiopia, maana yake Wapalestina nao ni wavamini hapo walipo? Au kama si wavamizi, wanasemaje kama Wayahudi halisi (walioko Ethiopia) wakitaka kurudi kwenye ardhi Yao ya asili (Israeli)?Hakuna Myahudi hapo! Hao ni machotara ya kizungu! Ndio maana wanatetewa sana na wazungu. Inajulikana vizuri hao machotara ndio wavamizi hapo.
Wapalestina ndio mwenyeji wa eneo hilo. Wayahudi halisi wapo Abysinia (Ethiopia) na India wametulia!
Hii ni ndoto mkuu🤣Wamerudisha maeneo yaliyochukuliwa na wavamizi.
Muda wa kilio bado kwa sasa. Maji, chakula na umeme kutoka Israel umekatwa. Ground offensive haijaanza hivyo siku za shida zaidi hapo Gaza ni kuanzia Jumatano hivi kama mgogoro utaendelea.T14 Armata
Njoo mchambuzi hatari hii
Wanafikiri watu hawajui kitu!Hakuna Mkristo anatumia hilo neno, hata kwa kiarabu. Na Wakristo wa kiarabu ni mateka wa Waarabu waislam kwenye ardhi yao hiyo hiyo, au unadhani tumesahau matukio ya kuwapiga mawe wanayofanyiwa ma "waarabu" wenzao kisa dini yao? Na hawasemi Allah, wao wanaita Illah they don't belive in God called Allah. Usitulishe propaganda. Umekazana makanisa, makanisa wakati 99.9% ya Gaza ni waislam, we vipi.
Umekunywa chibuku lita ngapi leoVitaondolewaje ukiwa ndani ya Nchi
Kabla ya 1947 ilikuwepo palepale walipo sasa, ila miaka mingi kabla hawakuwepo pale.Na nchi inayoitwa Palestina, ilikuwa wapi katika hii dunia kabla ya 1947?
Mwezi mmoja?? Sio siku sita tena? 😂😂😂Baada ya mwezi mmoja usiache kuja kutoa mrejesho tena hapa na uendelee kusimamia hii kauli yako.
Inaonya nn ss?Muda wa kilio bado kwa sasa. Maji, chakula na umeme kutoka Israel umekatwa. Ground offensive haijaanza hivyo siku za shida zaidi hapo Gaza ni kuanzia Jumatano hivi kama mgogoro utaendelea.
Israel imepuuza onyo la Hamas kwamba itaua kila raia mmoja aliyetekwa kwa shambulizi lolote litakalofanywa Gaza