LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Israel wanajuaje latest location ya hamas gaza, wakati hawakujua wameingiaje nchini mwao au mipango kabla ya kuingia?

Najiuliza
 
Footage has been released showing Israeli police engaging Hamas terrorists.
 
Baada ya mwezi mmoja usiache kuja kutoa mrejesho tena hapa na uendelee kusimamia hii kauli yako.

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Hata mandela aliitwa gaidi.

Mapapai si mnajulikana mnafata mkumbo tu.

Allahu Akbar ni maneno ambayo pia hutumiwa na Wakristo wanaozungumza Kiarabu, "Mungu" kutafsiriwa "Allah" kwa Kiarabu. Maneno hayo yanatumika katika muktadha wa kiliturujia miongoni mwa Wakristo wa Palestina, na matumizi yake yametetewa na Theodosios, Askofu Mkuu wa Kiorthodoksi wa Palestina wa Sebastia. [33]

Wewe neno Allahu Akbar likimaanisha Mungu ni Mkubwa (God is great) linakukera nini? Au ni shetani wewe?
Hakuna Mkristo anatumia hilo neno, hata kwa kiarabu. Na Wakristo wa kiarabu ni mateka wa Waarabu waislam kwenye ardhi yao hiyo hiyo, au unadhani tumesahau matukio ya kuwapiga mawe wanayofanyiwa ma "waarabu" wenzao kisa dini yao? Na hawasemi Allah, wao wanaita Illah they don't belive in God called Allah. Usitulishe propaganda. Umekazana makanisa, makanisa wakati 99.9% ya Gaza ni waislam, we vipi.
 
Hakuna Myahudi hapo! Hao ni machotara ya kizungu! Ndio maana wanatetewa sana na wazungu. Inajulikana vizuri hao machotara ndio wavamizi hapo.

Wapalestina ndio mwenyeji wa eneo hilo. Wayahudi halisi wapo Abysinia (Ethiopia) na India wametulia!
Kama Wayahudi halisi wako Ethiopia, maana yake Wapalestina nao ni wavamini hapo walipo? Au kama si wavamizi, wanasemaje kama Wayahudi halisi (walioko Ethiopia) wakitaka kurudi kwenye ardhi Yao ya asili (Israeli)?
 
Prior to an Israeli ground invasion into Gaza, the following actions will likely occur: - A violent and intense period of airstrikes via fixed and rotary assets plus naval bombardments. They will focus on hardened C2 locations, troop concentrations, logistic hubs (ammo caches)..ectera

- An extended period of artillery strikes via howitzers, mortars, and rocket artillery launchers. These will focus on initial defensive positions.

- A multi-layered thrust by armored, motorized, and mechanized forces which will have a consistent level of support by air and artillery assets. (Smoke screens, CAS..)

- Any thrust in an urban center will be long, violent and intensive due to the door-to-door actions that will likely be needed, especially due to the vast network of underground tunnels/locations.
 
T14 Armata
Njoo mchambuzi hatari hii
Muda wa kilio bado kwa sasa. Maji, chakula na umeme kutoka Israel umekatwa. Ground offensive haijaanza hivyo siku za shida zaidi hapo Gaza ni kuanzia Jumatano hivi kama mgogoro utaendelea.

Israel imepuuza onyo la Hamas kwamba itaua kila raia mmoja aliyetekwa kwa shambulizi lolote litakalofanywa Gaza
 
Hakuna Mkristo anatumia hilo neno, hata kwa kiarabu. Na Wakristo wa kiarabu ni mateka wa Waarabu waislam kwenye ardhi yao hiyo hiyo, au unadhani tumesahau matukio ya kuwapiga mawe wanayofanyiwa ma "waarabu" wenzao kisa dini yao? Na hawasemi Allah, wao wanaita Illah they don't belive in God called Allah. Usitulishe propaganda. Umekazana makanisa, makanisa wakati 99.9% ya Gaza ni waislam, we vipi.
Wanafikiri watu hawajui kitu!
Ni vile tunaamua kukaa kimya tu
 
Na nchi inayoitwa Palestina, ilikuwa wapi katika hii dunia kabla ya 1947?
Kabla ya 1947 ilikuwepo palepale walipo sasa, ila miaka mingi kabla hawakuwepo pale.
Ni kama vile Zanzibar ambavyo ingekuwepo kama Sultan angeendelea kuwepo.
Mfano mzuri ni Sudan ya Khartoum na Sudan Kusini. Ndivyo walivyokua wakiishi Israel na Palestine.
 
F8AnPJwX0AA_r48.jpeg
 
Muda wa kilio bado kwa sasa. Maji, chakula na umeme kutoka Israel umekatwa. Ground offensive haijaanza hivyo siku za shida zaidi hapo Gaza ni kuanzia Jumatano hivi kama mgogoro utaendelea.

Israel imepuuza onyo la Hamas kwamba itaua kila raia mmoja aliyetekwa kwa shambulizi lolote litakalofanywa Gaza
Inaonya nn ss?
Mbona imeshaua Kwa kuvamia?
Wao si wanaume? Waendelee tu
Netanyau kasema huu ni mwanzo!
 
Back
Top Bottom