Kuwa Mkristo Gaza ni rare phenomenon sana kama eneo lolote la kiarabu. Huko huruhusiwi hata kuwa na biblia. Ni salama sana kuwa Mkristo huko Uyahudini instead. Mnajificha kwenye ishu ya kidini kutaka tuwaonee huruma Hamas, nah!! Wanaokufa ni Waislam maana ndiyo wanaopigana, ndiyo aggressors, ndiyo target ya IDF, not otherwise. Wakristo wa kiarabu Gaza hutafuta hifadhi huko Isreal ambako hawawezi kuwa prosecuted na Waarabu Waislam. Its true Wayahudi wanamsubiri mwokozi hadi leo, na kuna namna baadhi huonesha dharau kwa Mkristo yeyote, but hawana hasira za kuua, kukushitakia uongo, au kukufanya uishi kama mtumwa, Gaza ndo hukumu hizo zipo huko, Wakristo wanateseka sana, all over Arab countries tena kwa sharia law, unahukumiwa kufa au kupigwa mawe hadharani kisa imani yako ya Kikristo . Muogopeni sana Mungu mnapopost uongo kama huu, kuwa Mkristo nchi za kiarabu ni kuwa tayari kufa wakati wowote. Wakristo huko Gaza ni almost hawapo, na waliopo wala hawajishughulishi na huu ugomvi. Kuwa caught kwenye crossfire inaweza kutokea kwa mtu yeyote anayeishi Gaza kwa sasa, lakini target ya Israel ni hao militants, ndiyo maana wanawatahadhalisha raia mapema ondokeni kwenye jengo fulani tunalipiga soon. Wanaoua kwa makusudi innocent civilians ni hao Hamas, not IDF.