LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Hapo kwenye nchi mmoja huenda ikawa solution nzuri ya kudumu maana ardhi yao Wapalestina imeshamegwa mno hawana eneo tena liliobakia la kuundia taifa jipya.

Huko kutawanywa sio sawa, maana sidhani kama huko watakapoenda watawataka mfano Lebanon, Jordan tayari zina mamilioni ya wakimbizi kutoka Palestine.
 
Mkuu ile j mosi wakati mashambulizi yanaanza wote hao walikuwa wanalalamika uhuru wa palestina wamekuja kugeuka baada ya wapalestina kuanza kusema kutawachinja mateka.
Na video kuanza kuliku wakifanya ubakaji na kuuwa watoto.

Hapo ndo mataifa mengi wakageuka.
Kabaki Iran tuu
Hawajawahi kutoa official statement za kuunga mkono mashambulizi ya HAMAS.

Wanachotetea ni legitimate rights ya Wapalestina
 
Naunga mkono,kama kina Mama wataendelea kuwaficha HAMAS huku wakiwatanguliza watoto wao mbele maana yake wako tayari watoto wafe ili HAMAS wapone.Kichapo na kiendelee,akili zikiwakaa sawa wataacha huu ujinga wa kuwaficha

Naunga mkono,kama kina Mama wataendelea kuwaficha HAMAS hukuwakiwatanguliza watoto wao mbele maana yake wako tayari watoto wafe ili HAMAS wapone.Kichapo na kiendelee,akili zikiwakaa sawa wataacha huu ujinga wa kuwaficha
Mbona huku yasema haya kipindi Ukraine imewaficha magaidi wa kinazi badala yake ilikuwa ni malalamiko kila siku ya Urusi inashambulia raia?

Alafu usiseme kichapo kiendelee ww sema kuchapana kuendelee maana wote wana chapana na ndio maana vifo vina tokea pande zote.

Vita sio lele mama kadili Israel anavyo endelea kutembeza kipigo ndivyo na yeye atakavyo tembezewa kipigo.

Na kipigo alicho kipata Israel ni kikali sana kuwahi kupata mpaka ame panic na kuanza kudondosha majengo hovyo hovyo.
 
Hapo kwenye nchi mmoja huenda ikawa solution nzuri ya kudumu maana ardhi yao Wapalestina imeshamegwa mno hawana eneo tena liliobakia la kuundia taifa jipya.

Huko kutawanywa sio sawa, maana sidhani kama huko watakapoenda watawataka mfano Lebanon, Jordan tayari zina mamilioni ya wakimbizi kutoka Palestine.
Waisraeli wanataka wawapoteze kabisa Wapalestina kama wao walivyoteswa na kupotezwa hapo na Roman Empire wakawa watumwa na wengi kukimbia diaspora miaka hiyo
 
Kwaiyo Mkuu siyo vizur kuwaza vitu kama hivi ni hatari Kwa Afya ya akili siyo? Ufafanuzi kidogo
Inscription inalenga nini hasa?
Narrative inayoprescrible how to behead and all steps of horrofic inhumane inakupa faraja gani kuwa sehemu ya kumbukumbu zako?
 
Tuambie Sasa kwao ni wapi ili waende huko?...

.taifa lao linatakiwa liundwe kwa Israel kurudi kwenye mipaka yake halali kabla ya Vita ya 1967.
mkuu ile sio ardhi ya wapalestina, ni ardhi ya wayahudi, ulimwengu wote unalijua hilo na wewe unajua hvo, sema watu mnajaribu kuyumbisha dish tu, watafute historia kuwa mababu zao walitoka wapi mpaka wakafika kwenye ardhi ya watu, wakishajua waende huko,
 
Sasa kama Iran anauweza wa kupambana na Israel yeye kama yeye kuita vikao vya nchi za kiislamu kujadili inasaidia nini.

Na inaonyesha waarabu wanaiogopa Israel still.
 
F8F8eN4XQAA178W.jpeg
 
mkuu ile sio ardhi ya wapalestina, ni ardhi ya wayahudi, ulimwengu wote unalijua hilo na wewe unajua hvo, sema watu mnajaribu kuyumbisha dish tu, watafute historia kuwa mababu zao walitoka wapi mpaka wakafika kwenye ardhi ya watu, wakishajua waende huko,
Itoshe kusema ww ni mpumbavu huna akili.
Hivi dunia hii tukisema kila jamii irudi kwenye chimbuko la asili yake dunia hii itakalika?
Basi wazungu wote waondoke bara la America na warudi Ulaya maana ndio chimbuko la asili yao ,America sio kwao.

Ww hapo ulipo una uhakika gani kuwa ndio chimbuko la jamii yako?

Mipaka ya mataifa yote duniani haijaundwa kwa misingi ya chimboko la jamii fulani mipaka yote ya mataifa unayo iona imeundwa na wakoloni na lazima iheshimiwe.
Yaani ww kama umesoma shule basi itoshe kusema kuwa elimu ya tz inawajaza takataka na makamsi kichwani badala ya maarifa.
 
Baada ya zoezi la kuwafumua Hamas kutoka juu kukamilikila, sasa ni ardhini, nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda - Gaza inakwenda kushuhudia operation tokomeza Hamas ya karne, ambayo itasimuliwa vizazi na vizazi.

1697003976681.png

  • Israeli Defence Minister Yoav Gallant has pledged to launch a ground offensive in Gaza following Hamas’s surprise attack in Israel on Saturday.
  • Israeli forces continued pounding the Gaza Strip for a fourth night in a row, killing at least 950 Palestinians. The Israeli death toll has climbed to 1,200 people.
 
Sasa kama Iran anauweza wa kupambana na Israel yeye kama yeye kuita vikao vya nchi za kiislamu kujadili inasaidia nini.

Na inaonyesha waarabu wanaiogopa Israel still.
Israel haina uwezo wa kupigana na nchi yoyote ikiachwa yenyewe. Hilo ndio somo tulilojifunza kwenye hivi vita.

Kesi zote za israel anazinunua US na kuzitakua kinyumenyume au moja kwa moja.
 
Itoshe kusema ww ni mpumbavu huna akili.
Hivi dunia hii tukisema kila jamii irudi kwenye chimbuko la asili yake dunia hii itakalika?
Basi wazungu wote waondoke bara la America na warudi Ulaya maana ndio chimbuko la asili yao ,America sio kwao.

Ww hapo ulipo una uhakika gani kuwa ndio chimbuko la jamii yako?
nenda zako huko mfuasi wa wavaa kobasi, waisrael wakichinjwa wewe na bi kikagula @faizafox mnashangilia, waisrael wakijibu mashambulizi mnaanza kulialia na kutafuta huruma, hao wakoloni walikuwa wapi kuweka mipaka ya nchi ya palestina mpaka leo hii palestina haitambulika kama taifa huru? unataka tuanze kumwagiana maneno ya shombo, mziki unauweza?
 
Gaza boarder, Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant amewaambia wanajeshi wake alipokuwa anawaaga kuingia Gaza.

Tunahamia kwenye kosa kamili lililosababisha sisi kuwepo hapa, Hamas ilitaka mabadiliko katika mji wa Gaza na itabadilika digrii 180 kutoka kwa kile ilichofikiria.

Watajuta wakati huu sababu Gaza haitarudi kama ilivyokuwa, hii historia itaandikwa katika vitabu na hata vitabu vitakatifu vya dini.

Kuandika historia haijawahi kuwa jambo rahisi kama wengi wanavyodhani.

20231011_085604.jpg


Moderator naomba usiunganishe uzi huu na zile nyingine sababu hii statement haipo katika muendelezo.
 
Back
Top Bottom