LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wasio na hatiaa ndio wanaoumia zaidii..
FB_IMG_1698709076551.jpg
 
Bila shaka kufika tarehe 10 Nov Israel itakuwa imefutwa kwenye ramani, wapalestina wataichukua ardhi yao, Allah atakuwa ameshinda!!! Takbiirrrr
Wewe punguani shabiki mandazi tu.

Harvard students walk out from talk given by Isrseli Ambassador
 

Attachments

  • 6b667286-db51-4a84-9838-eb1a8da8c1a1.mov
    6.5 MB
Kazi iliyofanywa na Yemen hii hapa.
Umbali ambao UAV/kombora inapaswa kusafiri kutoka Yemen hadi Israeli ni zaidi ya maili 1000.
Kuna punguani mmoja humu anasema Yemen hawana silaha
 
Sawa. Ila kumbushushaneni nyie Wapalestina wa Mchambawima kuacha kulialia kwenye nyuzi zengine.
Tofautisha na Kuuliwa raia wa kawaida na Kuuliwa mpiganaji, kwani hao wanaotetea Palestina wanatetea wale raia wa kawaida Kuuliwa ama wanatetea Hamas kuuliwa?

Vita vina sheria zake na Israel ana Commit war crime badala ya kupigana na Hamas anapigana na Madokta, Waandishi wa habari, msalaba mwekundu, Un etc.
 
Nimekuelewa sana, naskilizia hapa wakristu bandia wataokuja kukupinga, na kushangilia mauaji ya wapalestina
 
Kuvunja uhusiano na Israel haisaidii, bali ni kudumisha uhusiano ili kuishawishi isiendelee kufanya mauaji ya Wapalestina kwa sababu ya Hamas!
 
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Tuondolee upuuzi wako wewe Chawa wa Magaidi ya Hamas
 
Dini zimepumbaza watu. Israel wanafanyia watu unyama usio na mfano lakini dini zimepumbaza watu hawataki kuliona hilo, wanakesha wakiiombea Israel wakati mungu mwenyewe ameshindwa kuilinda Israel.

Mungu mwenyezi uwezo wa kuilinda Israel hana halafu mijitu mipumbavu inakesha kuiombea Israel na inapeleka maombi kwa huyo huyo mungu asie na uwezo wowote wa kuilinda Israel yake, hizi ni akili ama mavi?

Unakuja lijitu ligogo ama lihehe la huko iringa limeshindwa 'kuwaombea' (kitu kinaitwa maombi hakina msaada wowote kwenye maisha ya binaadam) wangoni ama wahehe wenzie, anakesha na kufunga kuiombea Israel na unakuta anatembea na bendera ya Israel kwenye gari ama nyumba yake.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine kitu kinachoitwa Mungu hakipo na wala hakina uwezo wowote wa kufanya chochote.
Wakati Hamas inachokoza kwa makombora mliimba "Ara Akibaru"... mmepigwa sasa mnaanza kuzitukana dini!! hizo dini ndo ziliwatuma kuichokoza Israel?
 
Kwanza, kwa picha uliyoweka dp yako inaonesha uwezo wa akili ni mmbovu sana.

Cha pili, moyo wako ni zao la chuki la kiislam liliotengenezwa enzi na enzi.

Cha tatu, una akili za kigaidi kama vile picha ya ayatollha muaaji ulimuweka katika dp yako.

Conclusion:
Israel ni ya Isaac mwana ibrahim na wala sio ya mtoto wa kijakazi wake huyl ismael. Nyie mlipewa nchi yenu ila bado mnang'ang'ania kuja israel.

Israel ni wayahudi na sio hao magaidi wenzako.
20231101_164425.jpg
 
Shida Hamas wanatumia nguvu nyingi bila akili.

Umesema mkuu, najiuliza mno strategy ya Hamas ilikua ipi.....Maana kinachoelekea Gaza, hasa upande wa Kaskazini itakuwa magofu, Na Israel itaikalia muda mrefu, Idadi ya Wapelestine wanaokufa kila kukicha inatisha.
Gaza 80% Umeme unatoka Israel, Wapelestine wengi ajira yao iko Israel, ukiwazuia kuingia ni maumivu makubwa kwa Wapelestine......anyway tusibiri tuone mwisho wake....Maana naona kilichotekea 1967 na 1973 kinatokea tena.....Hamas imerudisha mno jitihada zake za kupigania haki yake......Wataanza moja tena.
 
Back
Top Bottom