LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Huenda Israel inafanya mashambulizi ya nguvu yenye kuleta maafa ili kuonyesha dunia bado ina nguvu.

Hili shambulio la October 7 limewafedhehesha mno, hata waarabu waliokuwa wanaiona Israel kama inaweza kutegemewa kuizuia Iran, wamerudi nyuma.

Raia wengi wa Palestine wamekufa na watazidi kuuawa ila kuitokomeza Hamas haitakua rahisi, Hamas imeshakuwa ' ideology' haimalizwi kwa bunduki pekee.
Huwezi kuiangamiza Hamas bali itadhohofishwa tu.
 
Wewe ni mjinga na muongo Hezbollah ni jeshi la kidini, ni Waislam wa Shia na kiongozi wao mkuu ni Ayatollah Khamenei sasa endelea kubinua matako juu hapo msikitini wakati hata huo msikiti ujui ina itikadi gani shia, sunni, nk🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hezbollah ni kundi la Kishia ila lina Wakristo kibao humo ndani yake. Sababu Lebanon ina Wakristo kama 30%+ hivi, zamani walikuwa wengi zaidi ya 60% ila Wapalestina walivyoingia wote Waislamu. Alafu Waislamu wanazaliana sana.

Alafu Wakristo wa Lebanon wengine wana majina ya Kiislamu. So usipumbazwe kwa kusoma jina.
 
Si ndio wanayabomoa. Au unadhani kukaa na mateka kutawasalimisha na kipigo cha mbwa koko. Mahospitali yenu yaliyopo juu ya maandaki nayo yatapigwa.
Naona umeanza mipasho badala ya hoja.

Dunia imepata supa pawa mpya wa kuuwa watoto na wanawake.
 
Huenda Israel inafanya mashambulizi ya nguvu yenye kuleta maafa ili kuonyesha dunia bado ina nguvu.

Hili shambulio la October 7 limewafedhehesha mno, hata waarabu waliokuwa wanaiona Israel kama inaweza kutegemewa kuizuia Iran, wamerudi nyuma.

Raia wengi wa Palestine wamekufa na watazidi kuuawa ila kuitokomeza Hamas haitakua rahisi, Hamas imeshakuwa ' ideology' haimalizwi kwa bunduki pekee.
Sasa mkuu hizo ni nguvu gani anazo onesha kwa kuuwa watu hovyo zaidi ya kulifanya jeshi lake lionekane la hovyo na lisilo kuwa na weledi.

Hizo nguvu angezionesha kwa kupambana na hamas na kuwashinda na sio kwa kuuwa na kushambulia hovyo.

Hakuna nguvu anazo onesha kwa sababu anacho fanya kila nchi yenye jeshi la anga inaweza fanya maana gaza haina Id za kuilinda hivyo anajichagulia pa kupiga jambo ambalo hata jeshi letu lina weza.
 
Anza kwanza na aid ya dola bilioni 3 kila mwaka, juzi hapo wameomba dola bilioni 14 wapambane na Hamas, silaha za kimarekani ni nyingi tu zinatumika. Ipo wazi ni mnunuaji mkubwa wa silaha za kimarekani kuanzia rifles hadi ndege vita na missiles.

Toka mwaka 2011 hadi mwaka 2021 USA wametoa dola bilioni 1.6, kusaidia kutengeneza iron dome.
2021 Bunge la marekani walipitisha pendekezo kuisaidia Israel dola bilioni 1 katika kusaidia uendeshaji wa Iron Dome. Hii achana na ile budget waliyopewa na USA ambayo ni dola bilioni 3.8 mwaka huo 2021.

Lakini hata hivyo kabla ya pendekezo la bunge la US kuisaidia fedha Israel, tayari US walikua wanaisaidia Israel kutengeneza Iron Dome.

Israel pasipo back up ni wa kawaida sana. Tena sio kawaida ni mlaini.
Unajua kuwa hiyo Iron Dome Marekani imetoa pesa kwa Rafael Defense System ili ije baadae itumie teknolojia?

Unajua kuwa Congress kabla ya kutoa hela mwaka 2011 tiyari Iron Dome ilikuwa inaundwa tangu 2005 na mwaka huohuo 2011 ikafanya interception ya kwanza.

US iliona testing ikaona mfumo mzuri sana, kutaka kuingia hakuna vya bure ikaileta kampuni yake ya Raytheon ipate tech transfer na sharing na ndipo serikali ikaweka hela. Marekani haiweki hela kwa vilaza, hata South Africa hapo kampuni nadhani ni Denel ilifanya private project ikawasilisha kwa US wakaipa hela ikatengeneza MRAP za kwanza US ilizoenda nazo Afghanistan. Ni mambo ya kiuchumi haya magaidi hawaelewi.

Back up wakati mnafyatua maroketi hamkuisema leo mnapigwa mnaleta visingizio. Nanyi leteni backup ya Iran
 
Yani hilo ndio jeshi lenu wakristo kweli mashoga mtabaki kuwa mashoga tu, una kifaru jamaa anawafata peke yake, anakirupua na nyie mnajinyea kwenye kifaru 😄

Aibu hi mtaificha wapi ma super power wa kishoga wauwaji watoto, wanawake, wavunja mahospital na mashule.


View: https://youtu.be/92mWcBXlF14?si=6-tjaZRrM9aPGYU8



View: https://youtu.be/LDHJ9lHmZzA?si=c2ok9fyw5jJuR4Ug

Live sasa hivi vitu vimeshuka Tel Aviv

Kwahiyo unaamini video ya jamaa kaenda kulipua kifaru kwa mkono tu kuchomeka bomu? hiyo ni video grafhics tu animation jiulize karecord nani hapo? Ujinga ni mzigo... kuna aina nyingi za kulipua kifaru gaidi kaadithia tu magaidi wakatengeneza animation kawarushia Waislam wakaamini kama Mudy alivyokuwa anawadanganya kueneza uislam mkawa watumwa wa Moon God Jiwe jeusi. Wenzio wanalia wewe unachekelea tu endelea hadi vicheko viishe Hamas hii ndio 40 yake hachomoki...

Arabs country wamewaambia Israel awamalize haraka Hamas hata wao wamekwazika sana hata mvuto wa Palestina umewatoka sababu ya vikundi vya kigaidi
 
America nasikia katuma ujumbe nchi za kiarabu atafanya kila njia kusimamisha vita hataki vita.

Na watalipa yeye na Saud Arabia ghara zote za kujenga Gaza, kabla ya masaa 24 ujumbe alifikishiwa Nasurlah na Qatar.

Na pili Natanyahau ndio bye bye na Hamasi ataendeleza kichapo mpaa Israel awache vita kwa masharti ya Hamasi.

Akiendelea kupiga civilian Hezbullah ataingia na Israel total war
Ujinga mzigo... Nakuhakikishia hutaoa Israel akisimamisha vita sababu haogopi kima yeyete na atapiga hapo na akimaliza atawafuata Hamas wanaopiga kelele nje ya Gaza ndio maana hata Westbank wanasakwa wote hadi waishe hat Serikali ya Palestina inasaidia kuwatonya IDF.. na wewe kelele zikizidi IDF wanakuhusu.. All Arabs Counrty wanaunga mkono kichapo cha Hamas... Kwa Muislam yeyote hata awe abdool wa aina gani hawezi shabikia Hamas... Hezbollah kaona Israel yupo seriously mn this time kaufyata chali... muulize kama ashamaliza kuzika wanajeshi wake 70 aliokuwa anawategemea sana kuitishia Israel Nyau... Vita haiishi hadi Hamas waishe then next ni Hezbollah kisha Iran baba lao linalowachochea
 
Ujinga mzigo... Nakuhakikishia hutaoa Israel akisimamisha vita sababu haogopi kima yeyete na atapiga hapo na akimaliza atawafuata Hamas wanaopiga kelele nje ya Gaza ndio maana hata Westbank wanasakwa wote hadi waishe hat Serikali ya Palestina inasaidia kuwatonya IDF.. na wewe kelele zikizidi IDF wanakuhusu.. All Arabs Counrty wanaunga mkono kichapo cha Hamas... Kwa Muislam yeyote hata awe abdool wa aina gani hawezi shabikia Hamas... Hezbollah kaona Israel yupo seriously mn this time kaufyata chali... muulize kama ashamaliza kuzika wanajeshi wake 70 aliokuwa anawategemea sana kuitishia Israel Nyau... Vita haiishi hadi Hamas waishe then next ni Hezbollah kisha Iran baba lao linalowachochea
We wacha kujidanganya Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu Saud Arabia na America wanawatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah asingie vita.

Lazima ufahamu Hezbullah huyu Rais aliyopa madarakani ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabia kawambia serekali ya Lebanon atawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
 
Sas
Sijawai kuona sheikh akitabiri jambo alafu likatokea...

Alafu kabla yakuchagua upande wa wafilisti ambao ni wapalestina, unatakiwa ujue kwamba hao jamaa wameteka Watanzania wenzetu, hivyo pia ni maadui kwetu
Saa Ule Uongo wa Wakina TB Joshua...Mwamposa na akina muingira ndio unataka Masheikh nao wafanye utapeli wa aina ile??
 
Hamna point ya maana Nasrallah kasema. Najua mashabiki zake watakuwa disappointed, hata onyo lake ni jepesi. Eti Israel ikiendekeza escalation mambo yatakuwa mabaya zaidi. Nilitarajia atangaze vita sasa.

Mwanzoni walitangaza Israel ikiingia Gaza wanaishambulia. Leo siku kadhaa majeshi ya Israel yapo Gaza na Hezbollah bado hawajaanzisha vita bali mashambulizi mpakani. Na wapiganaji wa Hezbollah zaidi ya 50 wameuliwa mpaka sasa.

Nimetazama Aljazeera mwanzoni nilitaka kutumia Press TV nikahisi Iranians watatia chumvi. Aljazeera huwezi sema hawajui Kiarabu au watatafsiri vibaya
Kaka hivi vikundi vya kigaidi vinapata msaada toka Ilani, sasa na yeye Ebrahim dawa yake inachemka.
 
Wale HAMAS wanakongotwa balaa, sasa wanakimbilia kwenye Kambi za UN, Hospitalini, misikitini yaani wengine hadi wodi za kinamama, kwenye ambulance pia dadadeq - jana wakawashwa humo humo

Zile underground tannels zao zote zishakuwa mahandaki - yaani kifupi hawana mfumo kwa sasa. Wanapigana kama vile vita ya majimaji.
 
Hii habari wakisoma wavaa kobazi na vipedo,wanatoa magego yote nje huku masharubu yao yakichezacheza kwa tabasamu,wakinywa kahawa na kashata,tende na halua.Halafu Israeli Aki retaliate,utasikia ceasefire,anaua raia wasio na hatia, wanawake na watoto🤔
.......
Wanamgambo wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, Jumatano wametoa kanda ya video ya kile walichosema ni makombora ya masafa marefu na droni zilizo ilenga Israel.

Kikundi cha Wahouthi cha Yemen kinachoungwa mkono na Iran kilisema kimefyatua “idadi kubwa” ya droni na makombora ya masafa marefu kuishambulia Israel siku ya Jumanne baada ya jeshi la Israel kusema limetungua “kitu kilicho kuwa kinasafiri angani kikielekea upande wao” kabla ya kufika katika mji wa Eilat huko Bahari ya Sham. (AP/VOA).

https://fb.watch/o5B8OQErhJ/?mibextid=Nif5oz
 
Mtaokoteza mapicha ila sisi tunafuatilia live, na kuna mapicha ukiangalia kule Telegram aisei utalipuka mabomu....
Hivi leo mliandamana na mikanzu yenu?
Mnafuatiliia mabomu yanavyopiga watoto na shule sasa mabwana zenu wanapiga mabomu mpaka magari ya wagonjwa eti Hamas wamo humo wakiambiwa waonyeshe ushahidi hamna.
 
Hezbollah ni kundi la Kishia ila lina Wakristo kibao humo ndani yake. Sababu Lebanon ina Wakristo kama 30%+ hivi, zamani walikuwa wengi zaidi ya 60% ila Wapalestina walivyoingia wote Waislamu. Alafu Waislamu wanazaliana sana.

Alafu Wakristo wa Lebanon wengine wana majina ya Kiislamu. So usipumbazwe kwa kusoma jina.
Ndio kawaida yao mkuu wanapenda kuzaliana ili wawe wengi, wapuuzi sana.
 
Back
Top Bottom