Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Na walikuwepo madaktari kutoka west pamoja na WHO walithibitisha kuwa hospitali hazitumiwi kijeshi tena wamethibitisha sana tu hata Biden juzi aliwaambia wasiziguse hospitali lakini ndio miyahudi ilivyo mikaidi na kiburiIsrael isipo onesha ushahidi wa alicho kuwa anadai kuwa kimo hospitalini hapo sijui hiyo aibu ataificha wapi?