Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajukuu wa Mwamedi akili zao wanazijuwa wenyewe.Wako Imara! 😳😳😁😁😁
Wako Imara! 😳😳😁😁😁
Pole sana yahudi mweusi wa mazese uwanja wa fisiHamas ndio adui namba moja wa Wapalestina.
Viongozi wa Hamas wamesema Wao Ndio wanacontrol Ukanda wa Gaza na wako Imara haswa
Osama amesema wakiwakaribisha Wafungwa wa Kipalestina walioachiliwa na Netanyahu
Source Al jazeera news
Nawe pole sana Hamas wa Kihurio SamePole sana yahudi mweusi wa mazese uwanja wa fisi
It takes a fool to object this.Hamas ndio adui namba moja wa Wapalestina.
Kumbe ile presha yote ya kumvika Elon Musk "uantisemitsm" ilikuwa ni kumminya afunge star-link yake?
Israel says Musk agrees not to activate Starlink over Gaza without approval
Elon Musk has agreed to not activate Starlink over Gaza without Israel’s approval, Israeli communications minister said.
Starlink is a satellite internet venture operated by SpaceX, owned by Musk, that makes it easier to provide internet services in rural and isolated regions of the world where the internet terminals and cables are not strong.
It has been reported that Musk landed in Tel Aviv this morning.
In a post on X, Shlomo Karhi, the Israeli minister, congratulated Musk “for reaching a principle understanding” whereby “Starlink satellite units can only be operated in Israel with the approval of the Israeli Ministry of Communications, including the Gaza Strip”.
As part of its attacks on Gaza, Israel destroyed communication towers and cut off all internet for the besieged enclave last month.
Click here to share on social media
Mijamaa mishenzi sana hioKumbe ile presha yote ya kumvika Elon Musk "uantisemitsm" ilikuwa ni kumminya afunge star-link yake?
Siku za hivi karibuni Musk amekuwa kwenye presha kubwa kweli ya kupakwa matope kuwa ni anti-semite, kumbe hii mijamaa ilikuwa inamtafuta ili afunge star-link!
Isreal ndio rafiki mkubwa wa PalestinaHamas ndio adui namba moja wa Wapalestina.
Na kwa nini kama Gaza inatawaliwa na hamas na wana udhibiti wa Gaza why Elon asifanye kikao na hamas badala yake anafanya na Israel?Kumbe ile presha yote ya kumvika Elon Musk "uantisemitsm" ilikuwa ni kumminya afunge star-link yake?
Siku za hivi karibuni Musk amekuwa kwenye presha kubwa kweli ya kupakwa matope kuwa ni anti-semite, kumbe hii mijamaa ilikuwa inamtafuta ili afunge star-link!
Waondoke waende nchi gani? Yeye aanze kwanza aondoke tuone anaelekea nchi gani ya wayahudi, kwani kuna myahudi amelazimishwa kuja kuishi Israel? Si kila mtu amejiletaa Israel? Za kuambiwa changanya na zako.View attachment 28265743 days ago
Itakuwa mfuasi wa GwajiboyPalestina inawakilisha nini kati ya nuru na giza! Wakiwavizia Israel na kuwaua wanashangilia! Israel ikiwabonda na kuwasambaratisha na kukimbilia makaburini walikojichimbia eti watu wanaandamana! Acha wabondwe!