Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,477
- 3,642
Bado ni maskini tu hata congo wana utajiri wa asili ila inasimama katika nchi maskiniNani anaye kuambia Yemen masikini, kiongozi wa mwanzo alikuwa mwizi kaiba mabillion kwa tarifa yako Yemen ni matajiri kuliko Saud Arabia.
Wana Oil na Gas, wana Dhahabu wana Uranium na badhi ya madini tofautu tofauti.
Unadhani Yemen ni Tanzania hio