Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Aljazeera imekuwa kama nayo ipo vitani news zao zinatisha mno sijaelewa why Netanyahu anaiacha iharibu image ya Israel au anaacha uongo ili watu wote duniani wajue nini ni aljazeera.. ... jana wamekuja na news kwa Gaza wanapewa Misaada ya vyakura vya wanyama.. inamaa Donners ni wajinga au kuna wali majizi kwenye Insta,Tweeter,Facbook,Telegram na social zingine wakijifanya kupokea misaada for Gazan kisha wananunua vyakura vya mbwa and change wanabaki nayo.. wajinga ndio waliwao...
