LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
vita isikie tu jiran
Ni kweli.Na vina tabia ya kugeuka geuka mpaka wakaingia wasiokuwemo.Au aliyetarajia kupata ushindi akashindwa kwa aibu.
Mwanzo Israel ilijua atapiga mabomu mazito na kumaliza kazi kwa wiki moja tu.Loo! sasa ni mwezi wa tana hata pakupiga hajui apjige wapi na dalili ya vita kwisha haiko vizuri.
Marekani amepeleka meli kubwa za kivita bahari ya Mediteranean,hatimae imebidi apunguze baadhi yao kwanza gharama zimezidi na pia kuna kitisho cha kuzamishwa na Houth na Hezbollah.
Uamuzi wa Houth kupiga na kuzuia meli kupita bahari nyekundu kumepelekea nchi zote duniani kuipata hisia ya vita baina ya Israel na Hamas.
 
Watoto wawili wa Gaza wamewakilisha wenzao kuomba chakula kwa mtindo wa kupanda juu ya nguzo za umeme ili wasikiwe na askari wa Israel upande wa pili wa ukuta unaotenganisha Gaza na nchi hiyo.
Tunakaribia kufa,tunaomba chakula walisikika wakisema huku wakibembelezwa na wakubwa wao washuke hizo ni nguzo zina umeme ,
Baada ya hapo watoto hao waliendelea kupaza sauti na kuzitaja nchi kadhaa za kiarabu moja baada ya nyengine wakizitaka ziwaokoe na vifo kwa kuwaletea chakula.
Enyi watu wa Saudia na Oman tuleteeni chakulaa.....


Ila ww jamaa ni mpumbavu mkubwa sana, ww c ndo kila siku unasifia majeshi ya huko gaza kuwapiga Israel halafu leo unakuja kulialia ety mnaomba msaada wa chakula.

Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule amelaaniwa.
 
Onyo hilo limetolewa na yule Waziri wa Ulinzi wa Israel asiyejua kucheka

Source: Al Jazeera news
 
Kwa mara nyengine nakumbushia kuwa binadamu pamoja na ujanja na ubabe wake ni dhaifu sana mbele ya mipango ya Mwenyezi Mungu.Na kila unapojifanya mjanja sana basi ndio huwa unapewa kisiki ili uaibike mbele ya viumbe wenzako.
Kwa mujibu wa tangazo la Benjamini Netanyahu tangu siku ya mwanzo ya vita ni kuwa viongozi wote wa Hamas ni maiti wanaotembea.
Hata hivyo viongozi wote hao wanaonekana bado wapo hai na wanaendelea kupigana usiku na mchana
Katika kupigana na maiti hao Israel imeshapoteza idadi kubwa ya askari wake zaidi kuliko mateka iliyodhamiria kuwaokoa

1710937162338.png
 
Kwa mara nyengine nakumbushia kuwa binadamu pamoja na ujanja na ubabe wake ni dhaifu sana mbele ya mipango ya Mwenyezi Mungu.Na kila unapojifanya mjanja sana basi ndio huwa unapewa kisiki ili uaibike mbele ya viumbe wenzako.
Kwa mujibu wa tangazo la Benjamini Netanyahu tangu siku ya mwanzo ya vita ni kuwa viongozi wote wa Hamas ni maiti wanaotembea.
Hata hivyo viongozi wote hao wanaonekana bado wapo hai na wanaendelea kupigana usiku na mchana
Katika kupigana na maiti hao Israel imeshapoteza idadi kubwa ya askari wake zaidi kuliko mateka iliyodhamiria kuwaokoa

View attachment 2940001
Huyo namba moja anaitwa Marwan issa deputy commander for Al Qasaam brigade alishakuwa eliminated toka tarehe 11 mwez huu, mmoja baada ya mwingine ataliwa kichwa muombe Mungu akupe muda wa kushuhudia kazi pevu ya IDF.
 
Ila ww jamaa ni mpumbavu mkubwa sana, ww c ndo kila siku unasifia majeshi ya huko gaza kuwapiga Israel halafu leo unakuja kulialia ety mnaomba msaada wa chakula.

Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule amelaaniwa.
Wewe una tatizo mahali,sio bure!
 
Huyo namba moja anaitwa Marwan issa deputy commander for Al Qasaam brigade alishakuwa eliminated toka tarehe 11 mwez huu, mmoja baada ya mwingine ataliwa kichwa muombe Mungu akupe muda wa kushuhudia kazi pevu ya IDF.
Naomba na wewe pia upate umri ushuhudie kuwa Israel na Netanyahu mwishowe watashindwa na kikundi kidogo dhaifu cha watu.
 
Naomba na wewe pia upate umri ushuhudie kuwa Israel na Netanyahu mwishowe watashindwa na kikundi kidogo dhaifu cha watu.
From the river to the mad all Hamas terrorist will end up dead.
 
Dua naiomba sana kipindi hichi cha Ramadhani
Ukiondoa dua ya kumtakia uongozi mwema rais wetu lkn

Naomba awafitishe Isreal na Marekani
Aifutishe Isreal yenyewe kwa nyewe
Awape nguvu waislam wa Palestina
 
Back
Top Bottom