Nebkadreza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 250
- 158
Tuwaulize waarabuUle msikiti umefuata nn pale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwaulize waarabuUle msikiti umefuata nn pale?
ewe kilazainvansion ni kuvamia mahali kuangusha serikali na kutawala
Ila migration ni kuhama sehemu moja hadi nyingine .Elewa
Ule uliojengwa na abl malik 685? Wayahudi wana tempe pale miaka 2000 kabla na watalijenga tena soon baada ya kuvunja huo msikitiUle msikiti umefuata nn pale?
Kitabu gani cha dini kilitabiri kuanguka kwa dollar ya marekaniWewe ndio unajua leo ? Hiyo imeshaongelewa kitambo sana mpaka kuanguka kwa dollar ya marekani ni suala la muda tu ....Kwa sababu huo wanaamini ujio wa Dajjal , kwa utabiri tu ni kwamba atatokea mashariki ya kati ..
Nikupe tu dondoo ni ishu ya watu kuhifadhi dhahabu kwa pupa kama ilivyo sasa mpaka Iran .
Soma vizuri .
Hilo ndio temple kubwa kabisa wanaotaka kujenga katika eneo lile lile , ngoje tuone.Ule uliojengwa na abl malik 685? Wayahudi wana tempe pale miaka 2000 kabla na watalijenga tena soon baada ya kuvunja huo msikiti
Kachambue kuhusu kuja kwa Dajjal na mpango wa kuwa na serikali moja duniani hapo , usione watu wanahifadhi dhahabu ukafirikia hawajui kitu .Kitabu gani cha dini kilitabiri kuanguka kwa dollar ya marekani
Nachambuaje kwani nimeombwa nielezee ?Kachambue kuhusu kuja kwa Dajjal na mpango wa kuwa na serikali moja duniani hapo , usione watu wanahifadhi dhahabu ukafirikia hawajui kitu .
Kama hujui na vitabu kibao vipo , wewe unasoma nn?Nachambuaje kwani nimeombwa nielezee ?
Kwan gaza imepotezwa tayar?Saizi wapo stage one: Kuimeza eneo lote la palestina kwanza.
Gaza ndo haitarudi tena. Hamas walipiga mahesabu vibaya
Raia wao maisha bora watayapata wapi? Kwanza wanazaliana kama mchwa. Eneo ndio hilo limemegwa ni dogo. Waarabu hawawataki wapalestina sababu wana roho ngumu kama kaka zao Israel.Hamas hesabu zao za ovyo, wanaanzisha vita ambavyo hawawez pigana hata miez 5 tu, wale wangejikita kuboresha maisha ya raia wao tu
Kibao vipo ndio nini maalimKama hujui na vitabu kibao vipo , wewe unasoma nn?
Ina maana ni vingi.Kibao vipo ndio nini maalim
Yametimia....Watu wa haki za binadamu wasiaze kulialia, majibu yatakua mazito sana
Mwambie Nasrallah atoke huko mapongoni Netanyahu anataka kumsalimia.Jana Israel imetangaza kua imezima jaribio la mashambilio toka Hizibolah kwa kupiga Missile launch kuzisambaratisha baadae Hizibolah wakakanusha kua hakuna shambulio lolote la Israel lilowaathiri toka Israel zaidi ya kupiga target za magumashi za Hizibolah na sio Missile launch halisi
DahJana Israel imetangaza kua imezima jaribio la mashambilio toka Hizibolah kwa kupiga Missile launch kuzisambaratisha baadae Hizibolah wakakanusha kua hakuna shambulio lolote la Israel lilowaathiri toka Israel zaidi ya kupiga target za magumashi za Hizibolah na sio Missile launch halisi
Wanajua alipoMwambie Nasrallah atoke huko mapongoni Netanyahu anataka kumsalimia.
Kama Netanyahu kashindwa kuwakomboa mwaka sasa ataweza kujua alipo ansarallaMwambie Nasrallah atoke huko mapongoni Netanyahu anataka kumsalimia.