LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Huyu unayemuita Imam Mahdi unamjua au unamsikia?Naamini humjui vizuri,ungemjua usingeweka hope kwake.Nakushauri hivi,do not rely on Islamic sources only to know this figure,most probably watakudanyanya who exactly he is.Tafuta independent sources ambazo zitam-expose vizuri kwako.Mimi sitasema what this entity is,lakini nakuomba ufanye your homework vizuri.Imam Mahdi is a very evil figure.
 
Ushindi unakaribia
Hizi sio zama za kupigana kwa Upanga na Jambia huku umepanda Farasi, kipindi ambacho ilikuwa Vita inategemea Human wave, Vita ya sasa inapiganywa Kiteknologia na sasa Teknolojia iko kwa Wayahudi na Wakristo wewe ni mnunuzi tu.
 
NO ANY CEASEFIRE WITH HEZBOLLAH AND LEBANON UNTIL VICTORY IS ACHIEVED

Shikamoo Benjamin Netanyahu na Waisraeli wote. Yaani nawakubali mnavyonichapia hawa Wapuuzi hadi raha.

Kudadadeki.
hahahahahha!so unamkubali sana mwamba anavyowanyoosha hao wapuuzi!yaani wamemchokoza mwenyewe wanapigwa wanalialia!wakati anachokozwa wafuasi wao walikaa kimya, kaanza kuwachapa wafuasi wao (wengine wako huku tz) wanapiga mayowe kama WAJINGA
 
hahahahahha!so unamkubali sana mwamba anavyowanyoosha hao wapuuzi!yaani wamemchokoza mwenyewe wanapigwa wanalialia!wakati anachokozwa wafuasi wao walikaa kimya, kaanza kuwachapa wafuasi wao (wengine wako huku tz) wanapiga mayowe kama WAJINGA
Anachowafanyia Netanyahu kwa Kuwanyoosha hao FOOLS ni kama tu GENTAMYCINE ninavyowanyoosha FOOLS JF.
 
IMG_20240903_215436.jpg
 
It will take them many years to achieve their goal. Have they eliminated Hamas yet? The answer, A BIG NO!
 
It will take them many years to achieve their goal. Have they eliminated Hamas yet? The answer, A BIG NO!
Uje na Kiingereza chako hiki Uchwara cha kwa Ras Simba hapo Mwenge Mapambano au wapi, ila Netanyahu atawanyoosha tu.
 
Back
Top Bottom