BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Hili naliunga mkono moto upelekwe kunakoHakuna maridhiano na magaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili naliunga mkono moto upelekwe kunakoHakuna maridhiano na magaidi.
Kwenye vita usipounhwa mkono wa wananchi wako utamalizwa. Hezbollah hawaungwi mkono na Raia wa Lebanon na hata Serikali ya Lebanon haiwaungi mkono. Hivyo, Hezbollah ni wepese kuliko HAMAS ambao wanaungwa mkono na raia wa Palestine na Gaza.Kashindwa kuwamaliza hamas ndo awamalize Hezbollah? Ni mjinga pekee ndo atakaye amini huo utahira
kawaponza sana wadauIran ndo kawadanganya
Nimekumbuka jambo lingine muhimu: Kati ya Waarabu wapalestina, Hezbollah na Wayahudi nani ameweka Mitaala ya Shule ambapo chuki dhidi ya mwenzie hufundishwa.
Nimejaribu kuhisi uko zako parking unamsubiri mtu ashuke muondoke,anaperuziperuzi JF mara BooomImekua ghafla sana hili tukio kwao
View attachment 2786244
Tumeona yanayoendelea; hayapendezi machoni mwa mwanadamu yeyote aliye na hofu ya Mungu wa Kweli. Hata hivyo hatuwezi epuka kuchunguza undani na wa jamii hizi mbili ili itusaidie kutoa maoni yaliyo sahihi kuhusu yale wanayotenda sasa.
1. Israel ina jamii ya waarabu waislam wapatao 2,000,000 ambao ni raia wenye haki sawa. Mtu atuambie kama kuna kitu hicho kwa the so called Palestinians au nchi za kiarabu
2. Quran inazungumza moja kwa moja kuwa Waislamu wawaue kabisa wayahudi na wakiristo. Pia sikiliza viongozi wa Kiislamu wakiyasema hayo wao wenyewe. Mtu atuambie kama Torah inazungumza hayo
3. Katiba za Hamas na Hezbollah zinazungumza moja kwa moja kulifutilia mbali Taifa la Israel. Mtu atuambie kama katiba ya Israel inazungumzia kufutilia mbali wapalestina
4. Katika Jeshi la Israel wapo pia Waarabu waislamu wanaipigania nchi yao ya Israel. Mtu atuambie kama ktika majeshi ya Hamas na Hezbollah wapo hata angalau Waarabu wakiristo wanaipigania nchi zao za Gaza na Lebanon
ONA HII VIDEO VIONGOZI WA KIISLAMU WAKISEMA QURAN INAAGIZA KUANGAMIZA WAYAHUDI
View: https://x.com/orenbarsky/status/1843168625311596992
Tumeona yanayoendelea; hayapendezi machoni mwa mwanadamu yeyote aliye na hofu ya Mungu wa Kweli. Hata hivyo hatuwezi epuka kuchunguza undani na wa jamii hizi mbili ili itusaidie kutoa maoni yaliyo sahihi kuhusu yale wanayotenda sasa.
1. Israel ina jamii ya waarabu waislam wapatao 2,000,000 ambao ni raia wenye haki sawa. Mtu atuambie kama kuna kitu hicho kwa the so called Palestinians au nchi za kiarabu
2. Quran inazungumza moja kwa moja kuwa Waislamu wawaue kabisa wayahudi na wakiristo. Pia sikiliza viongozi wa Kiislamu wakiyasema hayo wao wenyewe. Mtu atuambie kama Torah inazungumza hayo
3. Katiba za Hamas na Hezbollah zinazungumza moja kwa moja kulifutilia mbali Taifa la Israel. Mtu atuambie kama katiba ya Israel inazungumzia kufutilia mbali wapalestina
4. Katika Jeshi la Israel wapo pia Waarabu waislamu wanaipigania nchi yao ya Israel. Mtu atuambie kama ktika majeshi ya Hamas na Hezbollah wapo hata angalau Waarabu wakiristo wanaipigania nchi zao za Gaza na Lebanon
ONA HII VIDEO VIONGOZI WA KIISLAMU WAKISEMA QURAN INAAGIZA KUANGAMIZA WAYAHUDI
View: https://x.com/orenbarsky/status/1843168625311596992
Wapenda haki humu JF nina complaint against modes wa JF. Naona kabisa wana upendeleo; nathubutu kusema modes ni Pro Hamas. Hii text niliianzishia UZI HUMU JF. nafikiri kwakuwa Modes wameona ina hoja nzito dhidi ya hamas, Palestine na Hezbollah, wamefuta uzi huo na kuhamishia hii text kwenye yanayojiri vita vya hamas.
Ona hii screenshot
View attachment 3117775View attachment 3117774