Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
isanga ni gereza lipo dodoma, ni gereza hatari mno kwasababu limechanganywa na machizi mle ndani, ukipita ukatandikwa kibao na mtu usishangae wengine wamepelekwa huko kupimwa akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?Mkuu Tupe Kwa Undani
Jeshi Linajichunguza Lenyewe Kweli ? Tanzania Hii Waliangalie Hilo
Akileta ngebe tu anaoneshwa namna "flaizi" inavyofunguliwa anatuliza mizuka.😁Mke kama huyu mangumi lazima ukong'otwe
Yaani mume wa huyu dada lazima ana maisha magumu sana😂😂Akileta ngebe tu anaoneshwa namna "flaizi" inavyofunguliwa anatuliza mizuka.😁
Hawaaminiki haoHakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?
Uongo uongo tu
Britanicca
Hatari sana.Yawezekana ni mnyonge ile ngumu.Kabla ya kidarosa anaambiwa apige mark'times mara ishirini kama maandalizi.Yaani mume wa huyu dada lazima ana maisha magumu sana😂😂
Kweli kaka usemayo nakuafikiHakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?
Uongo uongo tu
Britanicca
Ila kwa mama namba 1 , huyu hakatizi It’s just a matter of time hii inaweza malizwa kimya kimya but kwake ikawa maumivu sana.Ndio maana hata taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi juu ya kuwakamata Watuhumiwa wanne (4) kati ya sita ina 'walakini' mkubwa sana.
Taarifa hiyo eti wanasema "watuhumiwa wawili wamejificha, bado hawajakamatwa na Jeshi hilo linaendelea kuwatafuta."
Aidha, taarifa yao hiyo haikutaja majina ya hao 'watuhumiwa wawili waliojificha,' na Wala hawakutoa picha za watuhumiwa hao wanaotafutwa.
Kumbe kwa sababu mhusika Mkuu kwenye ushetani huo ni 'mtu wa nyumbani kwao'!?