John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Tangu lini meno ya mbwa yakaumana???Tumerudia zama zile za kuwa na untouchables.
Ngoja tuone namna watakavyodeal na mwenzao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini meno ya mbwa yakaumana???Tumerudia zama zile za kuwa na untouchables.
Ngoja tuone namna watakavyodeal na mwenzao.
Afungwe tuShe belongs to jail
Ushawahi ona mtu anajichunguza mwenyeweMkuu Tupe Kwa Undani
Jeshi Linajichunguza Lenyewe Kweli ? Tanzania Hii Waliangalie Hilo
na kwa mambo kama haya ndiyo maana kuna watu wakichefukwa na roho zao wanachukua sheria mkononi.Hakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?
Uongo uongo tu
Britanicca
Ungemshauri huyo mwanake polisi aache ujinga ni vile kamuonea dada asie na ndugu watata hayo mambo ni kisasi nae ungesikia kabakwa..Mkuu kama ulomweka pichani na maelezo ulomtolea si kweli na mlengwa akakufungulia mashtaka kwa kumchafua utalalamika na akataka fidia hela nyingiii utalalamika?
Basi ngoja ruoneUngemshauri huyo mwanake polisi aache ujinga ni vile kamuonea dada asie na ndugu watata hayo mambo ni kisasi nae ungesikia kabakwa..
Nakazia hoja. Halafu nukuu inasema: "JM amebakwa na kulawitiwa usiku huo hadi kesho yake asubuhi. Video ile imerekodiwa asubuhi wakati wahuni hao wanamaliza kufanya uhalifu".Kwanini mwanzo walisema ni CAPTAIN wa jeshi la wananchi na sasa ni afisa wa jeshi la Polisi? Maana ake kuwa sio habari zote za kuamini mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika
Kule twita aliyetoa taarifa hizi ni boniyai,akadai mumewe ashafariki,alipobanwa aelezee kifo chake kapiga kimya.Mdau mwingine akadai mume WA mtuhumiwa alifariki 2021 🙌Hakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?
Uongo uongo tu
Britanicca
Jeshi lililojichokeaNdio maana hata taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi juu ya kuwakamata Watuhumiwa wanne (4) kati ya sita ina 'walakini' mkubwa sana.
Taarifa hiyo eti wanasema "watuhumiwa wawili wamejificha, bado hawajakamatwa na Jeshi hilo linaendelea kuwatafuta."
Aidha, taarifa yao hiyo haikutaja majina ya hao 'watuhumiwa wawili waliojificha,' na Wala hawakutoa picha za watuhumiwa hao wanaotafutwa.
Kumbe kwa sababu mhusika Mkuu kwenye ushetani huo ni 'mtu wa nyumbani kwao'!?
umewaza mbali sana.Nyuma ya keyboard unafanya nini Mkuu?
Kumbe alishawahi kuingia kwenye mfumo wa Adv Kibatala huyo Mama wakati wanamlazimisha Maxence Melo atoe taarifa za Member wa JFSasa mama umri huo wivu wa nini?
Hizo hekaheka za wivu atuachie sie watoto zake na visimbuzi vyetu vya Azam burudani kwa wote 🤣🤣🤣
Naunga mkono hoja, asingelipa kiserikali angelipa kimtaa!Ungemshauri huyo mwanake polisi aache ujinga ni vile kamuonea dada asie na ndugu watata hayo mambo ni kisasi nae ungesikia kabakwa..
Hao mwezi tu na wewe unakua jela wao wakiwa wamezikwa...Naunga mkono hoja, asingelipa kiserikali angelipa kimtaa!
Au labda angehamia kuishi ikulu ndio nisimpate.