Yanayosemwa kuhusiana na Askari huyu yana ukweli?
Hii kesi ina watuhumiwa saba...

Mama Dr Gwajima Binti JM ana miaka 17 ,Mme wa Fatma aingizwe kwenye kesi ya Ubakaji......Amemuingilia Binti wa Miaka 17.
 
Tatizo hapo ni vyombo vyetu vya usalama kujiona ni Miungu watu na wako juu ya Sheria na unyanyasaji kibao.. hii connection kuvuja ni kama vile tu bahati nzuri kutujuza jinsi mambo yanayoendelea yawezekana ndo mchezo wao na watendewa wanaofanyiwa ukatili Huwa wanatishia kukaa kimya hawashitaki popote maana wafanya ukatili ndo hawa walinda usalama...jamii ejengwa kuwaogopa wajedaqq
 
Mama samia ,Mama wa 4 Rs inakuwaje vyombo vya dola vinamlinda muhalifu kwakuwa ni mwenzao? Walisema kwamba wamebaki watuhumiwa wawili wanatafutwa ,mmoja ndiyo huyo Fatma watu washampata mbona hakamatwi? Kwani kuna watu wapo juu ya sheria?
 
Huyo atafichwafichwa sana
Msala wataubeba wale makuruta
Wajinga

Ova

Hahahaa Polisi watajaziwa nzi kinoma maana tayari watu wa jamhuri ya twita washamuweka wazi....Ngoja tuone watakavyojaribu kumficha.

Wazee wa Minyama Kitenge,Hando na Zembwela wanalifatilia hili swala wanataka wajue hatma yake....Daily lazima walizungumzie.
 
Mnamo Mei 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilitaarifiwa kukamatwa kwa Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya jamii Forums, ilitolewa na afisa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SSP Ramadhan Kingai iliyotokana na kinachodaiwa kwamba mkurugenzi mtendaji wa Jamii Forum, Maxence Melo na Mwanahisa wa Kampuni hiyo, Mike William kushindwa kutoa taarifa sahihi iliyochapishwa kwenye mtandao wa Jamii Forums.

Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Mohamed Salum, Kindai alidai kuwa waliomba taarifa kutoka kwenye kampuni ya jamii Forums kutokana na kesi iliyofunguliwa na Afisa Msimamizi wa Mauzo ya rejareja wa Oil Com, Usama Mohammed. Kwamba Usama alifika kwenye ofisi yao na kulalamika kuwa Februari 13,2016 kuna habari ilichapishwa kwenye mtandao wa Jamii Forums kuhusu kampuni ya Oil Com kukwepa kodi bandari ya Dar es Salaam na kwamba wanaiibia serikali.

Katika kufuatilia kupata ukweli, ASP Fatuma Kigondo aliingia kwenye mtandao huo kutafuta aliyechapisha taarifa hizo ambapo waligundua kuwa ni Fuhurer JF Expert member ndiye aliyechapisha taarifa hiyo.

Kufuatia hayo, Februari 23, 2016 Kigondo aliandika barua kwenda kwa Mkurugenzi wa Jamii forums ili awapatie taaarifa za mtu huyo ambapo walipokea barua toka Jamii Forums ikidai kuwa wanahaki ya kulinda faragha za wateja wao.​
 
Mnamo Mei 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilitaarifiwa kukamatwa kwa Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya jamii Forums, ilitolewa na afisa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SSP Ramadhan Kindai iliyotokana na kinachodaiwa kwamba mkurugenzi mtendaji wa Jamii Forum, Maxence Melo na Mwanahisa wa Kampuni hiyo, Mike William kushindwa kutoa taarifa sahihi iliyochapishwa kwenye mtandao wa Jamii Forums.

Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Mohamed Salum, Kindai alidai kuwa waliomba taarifa kutoka kwenye kampuni ya jamii Forums kutokana na kesi iliyofunguliwa na Afisa Msimamizi wa Mauzo ya rejareja wa Oil Com, Usama Mohammed. Kwamba Usama alifika kwenye ofisi yao na kulalamika kuwa Februari 13,2016 kuna habari ilichapishwa kwenye mtandao wa Jamii Forums kuhusu kampuni ya Oil Com kukwepa kodi bandari ya Dar es Salaam na kwamba wanaiibia serikali.

Katika kufuatilia kupata ukweli, ASP Fatuma Kigondo aliingia kwenye mtandao huo kutafuta aliyechapisha taarifa hizo ambapo waligundua kuwa ni Fahara JF Expert member ndiye aliyechapisha taarifa hiyo.

Kufuatia hayo, Februari 23, 2016 Kigondo aliandika barua kwenda kwa Mkurugenzi wa Jamii forums ili awapatie taaarifa za mtu huyo ambapo walipokea barua toka Jamii Forums ikidai kuwa wanahaki ya kulinda faragha za wateja wao.​
Nadhani kuna makosa ya uandishi , Ofisa wa Polisi aliitwa Ramadhan Kingai na huyo JF EXPERT MEMBER alikuwa @fuhurer
 
Kwahiyo hata mimi nikiandika utumbo unaofanywa na wakubwa hapa sidakwi au mambo yamebadilika??
 
Back
Top Bottom