Uchaguzi 2020 Yanayotokea Tanzania Leo yalitokea Indonesia 1998

Uchaguzi 2020 Yanayotokea Tanzania Leo yalitokea Indonesia 1998

Sky Eclat tuacheni na utani wakati mwingine tunawasema CCM ila wale jamaa wamejipanga sanaaa kwenye kila kitu

Upinzani unatafunana wenyewe kwa wenyewe
Jamaa wamejipanga kuliko maelezo, na mipango yao imeanza takribani miaka kadhaa iliyopita.
Kwa sasa wanafanya final touches tu.

Jamaa walivyo wekeza kwenye media aina zote, na mengineyo ni hatari.
 
Jamaa wamejipanga kuliko maelezo, na mipango yao imeanza takribani miaka kadhaa iliyopita.
Kwa sasa wanafanya final touches tu.

Jamaa walivyo wekeza kwenye media aina zote, na mengineyo ni hatari.
Acha ifike October
 
Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili dumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena matatizo ya wananchi walala hoi.

Mwaka 1998 upinzani ulifanya campeni ya nguvu. Pamoja na New Order kuwa na jeshi, polisi na Usalama wa Taifa, ushindi wa upinzani ulikuwa mkubwa mno.

Mabadiliko makubwa ya kiutawala yalifanywa na Upinzani ulipoingia madarakani. Haikua kazi rahisi na walipitia mwaka mzima wa mtikisiko wa kuichumi. Baada ya hapo mpaka sasa hali ya siasa a uchumi iko shwari.

Mnaopenda kusoma zaidi nendeni Wikipedia msome history of Indonesia.
Nikweli but just think Lisu Kuwa Rais? Or Member? Nadhan nibora tuongozwe na Jiwe Tu. Tunasafari ndefu Sana bado vyama vya upinzani Kuwa vyenye uwezo kutuongoza. Tutakuwa tumepoteza
 
Linatakiwa dodoki kusafisha akili za watu wanafiki hapa kwetu inatakiwa tuanze na vyombo vya habari vile ambavyo picha inaonekana lakini sauti haisikiki
Vyombo vya habari hawajui kuwa mungu hufanya miujiza kwa vyama vyenye Tabia ya uonevu kama CCM . Maajabu ya Malawi, Zambia, congo, Ghana, Burundi, Gambia yanaenda kutokea Tanzania, hakuna mabaya yasiyo na mwisho ubaya wao mbinu zao za uchakachuaji kwa nguvu za mungu zitafeli
 
Utajua hujui aiseeee

Sisi tutapambana na tutaweza ndipo utashangaa
ukichukulia mambo bila tafakari ni rahisi kua na majibu kama haya bt kamwe ukombozi wa siasa za kiafrika hautapatikana kwa kutumia hii mifumo inayowanufaisha mabeberu na kuwadidimiza waafrika..

hii mifumo tulorithishwa na mabeberu lengo lake kuu ni kutufanya tuwe na siasa za uadui na tuendelee kuwa watumwa wa mabeberu.

mwafrika atajikomboa kisiasa kwa kuunda mifumo yake mipya ya kisiasa, hili likifanyika ni rahisi sana mwafrika kujikomboa katika nyanja zote.

wachina, wahindi na nk, waliunda mifumo mipya ya kiutawala wakaachana na ile ya wakoloni wao angalia leo wanavyoendelea kirahisi...

tukibadili fikra zetu tunaweza kua na uchumi mkubwa baada ya mda mfupi.
 
Zaidi ya kupigwa Risasi Bado sijasikia hoja ya Lisu.

Zaidi ya kukatwa, Membe atakua hana Jambo jingine la kuzungumza.
Wakuletee hoja nyumbani kwako ili iweje? Kampeni zikianza utasikia hoja nyingi mpaka utachanganyikiwa asiyoyajua usiyoyatarajia utayasikia utayajua, kumbuka mtukufu alizuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria kwa mda wa miaka 5 akajiona ni mjanja kumbe hajui kuwa siri zote zimevuja file zote wanazo akina Tundu lisu, Membe na wapinzani wengine na Siri zingine zitaongezeka Pindi kamati kuu ikianza kukata majina ya wagombea ubunge hasa wale walioshinda kura za maoni, wengi wenye hasira za kukomolewa wataenda kutoa siri zote kisha kuwahaa wenzao kuwa wapo pamoja nao kuepuka kufukuzwa uanachama wa CCM.
 
Nikweli but just think Lisu Kuwa Rais? Or Member? Nadhan nibora tuongozwe na Jiwe Tu. Tunasafari ndefu Sana bado vyama vya upinzani Kuwa vyenye uwezo kutuongoza. Tutakuwa tumepoteza
Sijui kama watakuelewa.
Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu.
Akishinda uraisi itakuwa janga kwa taifa. Sijamsikia akiongea mambo yoyote ya maendeleo na huduma za kijamii.
Hadi sasa sijui kwa hakika dira au sera za chama chake ni zipi. Angalau Membe na ACT nimewasikia wakigusia mambo kadhaa muhimu tatizo utekelezaji wake utakuwa mgumu kama atafungulia kila kitu na kurudisha kama ilivyokuwa awamu ya nne.
They are just unrealistic goals.
 
Kuifananisha.Tanzania na Indonesia ni upunguani ,angalia historia ya hizi nchi kabla ya kuleta utopolo hapa jukwaani
Maendeleo lazima yafananishwe na pale palipoendelea unataka Tanzania ifananishwe na Somalia?
 
Suala la maendeleo ya watu kwa sasa kutoka kwa viongozi wa CCM na itikadi wanayoisimia, ni kama mfano wa uliopo ndani ya maandiko matakatifu kuhusu kiriba cha kale na divai ya kale. Ukale huo unahakisiwa ktk sura ya maendeleo toka Tanganyika ilipopata uhiru wake mwaka 1961 mpaka nchi yetu ilipo hivi sasa.

Huwezi kuweka divai mpya ktk kiriba cha zamani, kwa kuwa kiriba cha zamani huifadhiwa divai ya kale, na hali kadhalika divai mpya ktk kiriba kipya, la sivyo kwa kufanya hivyo kiriba cha kale kitapasuka na divai mpya itamwagika yote na kupotea.

Nchi hii inahitaji viongozi wapya na maono mapya ya kiitikadi kwa ajili ya kesho ya siha na afya njema ya mama Tanzania. Kauli za kibabaishaji za CCM mpya ni kutaka kucheza kamari na maisha na maendeleo ya ways kwa mara nyingine tena.

Umesema kweli kabisa sasa hivyo tunahitaji mabadiliko haijalishi nani kufanya nini tunahitaji mabadiliko waje wengine kabisa tuone nao wanafanyaje. Hakuna chama chenye hati miliki ya kuendelea kutawala hata kama hakuna kikubwa kinachofanywa zaidi ya kelele nyingi. Prof. Lumumba anasema ukiona kunapigwa kelele nyingi sana kuhusu mambo yaliyofanyika ujuwe hakuna kilichofanyika maana yakifanyika mambo makubwa yatajionesha yenyewe bila kupigiwa kelele sana
 
Mhh...! Kwa akili za watz huko vijijini bado tunasafari ndefu sana kwa upinzani kuking'oa chama twawala.
This is it!
At least we have sane people like you, the rest are just a bunch of delusional fanatics.
Good observation pal!
 
Wakuletee hoja nyumbani kwako ili iweje? Kampeni zikianza utasikia hoja nyingi mpaka utachanganyikiwa asiyoyajua usiyoyatarajia utayasikia utayajua, kumbuka mtukufu alizuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria kwa mda wa miaka 5 akajiona ni mjanja kumbe hajui kuwa siri zote zimevuja file zote wanazo akina Tundu lisu, Membe na wapinzani wengine na Siri zingine zitaongezeka Pindi kamati kuu ikianza kukata majina ya wagombea ubunge hasa wale walioshinda kura za maoni, wengi wenye hasira za kukomolewa wataenda kutoa siri zote kisha kuwahaa wenzao kuwa wapo pamoja nao kuepuka kufukuzwa uanachama wa CCM.
Umeandika kwa hofu ya kushindwa oktoba.
 
Jamaa wamejipanga kuliko maelezo, na mipango yao imeanza takribani miaka kadhaa iliyopita.
Kwa sasa wanafanya final touches tu.

Jamaa walivyo wekeza kwenye media aina zote, na mengineyo ni hatari.

Hawajawekeza kwenye media kwa maana ya uwekezaji, bali media zote wamezitia hofu kupitia madaraka ya rais yanayotumika vibaya. Ukijaribu kufuatilia vizuri utaona kabisa kuwa ccm sio chama imara, ila kina mwenyekiti anayetumia madaraka yake kibabe, na kumuonea yoyote asiyemsujudia au kuisujudia ccm. Kwahiyo utawala huu wa mabavu na shuruti umetengeneza kukubalika bandia, kisha ndio kugeuzwa kuitwa uimara wa ccm.

Vyama vyote vinavyoongozwa na marais madictator hupewa sifa bandia kuwa ni imara, na huhakikisha washindani wao wote hawapati covarage kwenye media, ili wao tu ndio wasikike na kujifanya wanakubalika.
 
Dodoma itaenda kuusaidia upinzani kwa nguvu kubwa wale wote walioshinda kura za maoni wakikatwa majina yao kwa hila report za kutengenezwa na wabaya wao wenye wivu nao itasaidia chadema ACT kuimarika zaidi kwa siri kwani watausaidia kwa nguvu nyingi kufidia machungu yao ya kuonewa na Kamati kuu ya Dodoma.
 
Wanakijiji huko siku wakiona vyombo vya ulinzi wafugaji washafanya yao kwenye mashamba na jamaa wanaenda kutuliza hali au wanataka ardhi isiyoendelezwa kinguvu polisi wanaenda kuweka mambo shwari.

Siku zingine zote shida zao zote zilizobaki wanazipeleka kwa mwenyekiti wa kijiji, diwani au ofisi ya wilaya ivyo vyombo vya ulinzi wala hawana shughuli navyo na wala awakumbani navyo on daily basis. Na hawa ndio watanzania walio wengi.

Halafu wee uende huko uwaambie story zako sijui hawapo huru chini ya serikali ya sasa polisi wananyanyasa raia (vyombo ambavyo wakiviona sababu ni migogoro walioanzishiana wenyewe) sijui habari za vyombo vya habari kufungiwa; watu ambao wanataka ardhi, maji, umeme, barabara, uwatoe wamang’ati kwenye mashamba yao.

Wakati Magufuli amejiandaa kwenda kutatua changamoto zao za kila siku na nyingi tayari keshazifanyia kazi.

CDM wajiandae wanashindwa huu uchaguzi mchana kweupe kwa sera zao wenyewe, wasitunge story tu ya kupeleka kwa mabeberu ikifika November.
 
Back
Top Bottom