Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
US yenye uchumi mkubwa duniani, nchi ambayo ina miundombinu ya ku support any industry you can think of, financial institution zenye uwezo kukopesha billions of dollars to fund new investment, big business which can grow organically from retained earnings and create employments na hiyo nchi ikitengeneza ajira mpya million 1 kwa mwaka huyo raisi atajitapa sio kidogo.Sijui kama watakuelewa.
Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu.
Akishinda uraisi itakuwa janga kwa taifa. Sijamsikia akiongea mambo yoyote ya maendeleo na huduma za kijamii.
Hadi sasa sijui kwa hakika dira au sera za chama chake ni zipi. Angalau Membe na ACT nimewasikia wakigusia mambo kadhaa muhimu tatizo utekelezaji wake utakuwa mgumu kama atafungulia kila kitu na kurudisha kama ilivyokuwa awamu ya nne.
They are just unrealistic goals.
Wewe huna miundombinu (ndio kwanza Magu anatengeneza tena wapinzani wanapinga), huna big business zenye uwezo wa kukuwa na kutengeneza ajira, huna bank ata moja yenye uwezo ya kukopesha bila ya mtaji wake kuyumba kampuni za size ya kati kama 100 tu zenye kuhitaji mkopo wa wastani wa dollar 10-50 zitakazoweza ajili kati ya watu 50-300.
Katika hali kama hiyo hizo ajira million 10 kwa miaka 5 mitano utazitengeneza vipi na kuna watu wanapigia vigelegele kabisa porojo za Zitto bila kuuliza how is that even possible.