Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Mkuu bado una safari ndefu kuhusu mambo ya branding.Hizi biashara za media zimeanza kipindi hiki cha Magufuli? Au wakati wa JK wapinzani walikuwa wanatangazwa bure na hizo media? Naona unashindwa kutofautisha kutangazwa sana na kukubalika. Kukubalika ni jambo linalofanyika kwa hiyari, lakini unapotangazwa sana utafahamika, bali kukubalika ni jambo jingine. Tatizo la kutangazwa ww peke yako muda wote tena kwa shuruti, pindi wanapotokea washindani wako, unakuwa kwenye wakati mgumu, maana unajikuta huna uwezo wa ushindani, na hapo ndio unaona matumizi makubwa ya nguvu, ukatili, ushenzi na uhayawani wa wazi ili utangazwe mshindi. Mfano mrahisi wa kukubalika kwa hiyo ccm ni ule upuuzi walioufanya kwenye uchaguzi wa SM. Kama kweli ccm wanakubalika, ni kipi kilimfanya rais aagize uchaguzi unajisiwe?
Unafikiri Coke au Pepsi 'hazifahamiki'?
Kwanini zinaendelea kufanya matangazo aggressively, progressively and persistently kila uchao?
Kila unapofanya tangazo hautangazi ilimradi umetangaza tu, hurudii tangazo hilihilo miaka mitano.Kuna watu wanakaa chini wapendekeza mabadiliko angalau kidogo tu hata ya kijinga kama muonekano flani au kifungashio, au ujazo n.k.
Vivyo hivyo kwenye chama unabadili vitu falani vidogo tu katika utendaji , nk, kisha unavishikia bango kwenye matangazo. Siwezi kueleza zaidi hapa sababu hiyo ni kazi na watu wanaliowa kwa hiyo kazi. Sitoi 'elimu bure' kama serikali. ..😃😃
NOTE: Zingatia kipande cha promo kwenye maandishi niliyokoleza rangi, unielewe zaidi kuhusu mfano wa tangazo lenye maboresho madongo in actual sense lakini unayashikia bango kwenye PR.