Naamini kadri muda unavyoenda, wataongeza umakini huku kipigo cha simba kikiwafanya watafute ushindi kwa nguvu zote.
Wamekosa tu bahati ya kufungaGeita wanaumwaga mwingi
Yanga wangemuanzisha mayeleGeita wanaumwaga mwingi
Hawa madogo sijui wakojeWamekosa tu bahati ya kufunga
Hii ndo kitu napenda kusikiaHii mechi ingepigwa mkoani Uto angepoteana
Wako kama Makolo FC!!Hawa madogo sijui wakoje
Hata polisi wanaikamia sana simba ila wakicheza na Uto utaona football comedy
Mayele siku hizi ni kiungo?Yanga wangemuanzisha mayele
Tunawachoraaa tu utopolo[emoji41][emoji41][emoji41]Mbona kumepooza humu shida ni nini au watu wapo kwenye majonzi ya ajali iliyotokea Moshi?
Si walicheza nao mkoani hao hao Geita. Vipi walipoteana Yanga?Hii mechi ingepigwa mkoani Uto angepoteana
Huyu jamaa hachelewi kumnyoso mtu Mayele anaweza kutetema nyoso asipo kua makiniMayele kakutana na Nyosso naona kainama