Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nyuma Kuna mwikoYanga daima
Ila nyuma Kuna mwiko
Dah mkuu kwa hiki ulichoandika, inadhihirisha kwamba Yanga akishinda utapasuka mno. Kama kuna watoto wakalale tu mapema maana unaweza kumpiga mtoto pasipo na sababu za msingiKivyovyote ilivyokuwa bora haijawa goli
Kama una hamu ya goli kaangalie marudio ya juzi, hii mechi yanga hatii goliNasubiria goli za Yanga tupate burudani murua toka kwa guvu moya lila lia
Kwa hiyo msimu huu limegeuka kuwa Kombe! Na siyo tena mashindano ya Bonanza!Na ndio maana kombe la mapinduzi walichukua
Kama una hamu ya goli kaangalie marudio ya juzi, hii mechi yanga hatii goli
Haiwezekani sisi tu draw na mamwela halafu mjiokoteeDah mkuu kwa hiki ulichoandika, inadhihirisha kwamba Yanga akishinda utapasuka mno. Kama kuna watoto wakalale tu mapema maana unaweza kumpiga mtoto pasipo na sababu za msingi
Kwa hadhi ya simba aliyonayo kila mashindano hapa nchini ni bonazaKwa hiyo msimu huu limegeuka kuwa Kombe! Na siyo tena mashindano ya Bonanza!
Kolo naona unateseka sana, pole sana... sasa mngefungwa leo si ungejinyongaHaiwezekani sisi tu draw na mamwela halafu mjiokotee
Mpira uliisha isha tangu juzi hakuna player wa yanga anafunga mechi hii na kuna mtu anapigwa kadi hamtaaminiMpira bado haujaisha weka akiba ya maneno
Usinipe pole wakati bado sijatolewa robo ya CAFKolo naona unateseka sana, pole sana... sasa mngefungwa leo si ungejinyonga
Mambo dear[emoji23][emoji23] unaumia sana babe.. sisi wananchi hatuna nenoMpira uliisha isha tangu juzi hakuna player wa yanga anafunga mechi hii na kuna mtu anapigwa kadi hamtaamini
Pale mtakapopigwa tano na kuaibisha taifa!?Hii robo ni kama ya robo ya unga tu, robo ya kweli inaanza tarehe 17
Na Mngeyapatia wapi maneno na hamshiriki mashindano ya kimataifa?Mambo dear[emoji23][emoji23] unaumia sana babe.. sisi wananchi hatuna neno
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hujawahi kupigwa tano na sisi, je uliaibisha taifa?
Naam tuko pamojaSecond half