babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Jinyonge kwa makamasi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Haiwezekani si tu draw afu hawa mambwiga washinde
Waongeze umakini kwenye ukabajiHuyu jamaa hachelewi kumnyoso mtu Mayele anaweza kutetema nyoso asipo kua makini
Utasubiri sana!!Kila la kheri geita
Aaah imekuwaje tena hawa watoto washadorishwa pipi nini?Almanusura Yanga wapate goli kama sio beki wa Geita kuokoa kwa kichwa kwenye mstari
Hapa mzukaHalf time
0-0
na si hatuna harakaUtasubiri sana!!
TutaonaMsako utaendelea kipindi cha pili
Kivyovyote ilivyokuwa bora haijawa goliNi ngumu kumlaumu refa kwasababu hata Azam wenyewe hawajui kufanya replay ya matukio kama haya. Wakati super sport wanaweka position ya mpira vs mstari wa goli. Na ndio maana ulaya wana teknolojia ya goal line
Ni suala tu la muda. Watabana weeehh mwisho wataachia.Msako utaendelea kipindi cha pili
Na ndio maana kombe la mapinduzi walichukuaUzuri wa Yanga hamalizi game bila ushindi
Huku wakiwa hawaamini kinachotokea.Ni suala tu la muda. Watabana weeehh mwisho wataachia.