Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

weka akiba ya maneno round ya kwanza iishe ,bado kuna changamoto ya viwanja vya mikoani
Nilishaweka mpaka uzi humu mwanzoni kabisa mwa ligi nikisifia hiki kikosi! Sina akiba ya maneno. Msimu huu Yanga ndiye Bingwa, kutokana na uzuri wa kikosi chake.

Anapiga nyumbani na ugenini! Viwanja vya matope, nyasi bandia, nyasi asili, nk.
 
Oyooooo
Screenshot_20211026-150725.jpg


Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom