Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
And he has scored 10 goals so farHe needs more than 10 chances to score a single goal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And he has scored 10 goals so farHe needs more than 10 chances to score a single goal
Kibu needs more than 10 mins to make a perfect first touchHe needs more than 10 chances to score a single goal
unasahau mapema sanaYanga walikaa miaka minne bila kufungua nyuzi kama hizi, sasa hivi Mungu amewaona wanaanza jeuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]And he has scored 10 goals so far
Soma hii Simba walisota miaka mitano.Yanga walikaa miaka minne bila kufungua nyuzi kama hizi, sasa hivi Mungu amewaona wanaanza jeuri
A robot is not an ideal or perfect machine. It's efficiency is not 100%.But he has missed two clear chances
Mikia wote wamekimbilia vichakaniMbona leo uzi umepoa sana au mashabik wa simba ndo wameshakata tamaa kufika kileleni ? [emoji23]
Narudia tena soma hii kijana. Simba alisota miaka mitano.Yanga walikaa miaka minne bila kufungua nyuzi kama hizi, sasa hivi Mungu amewaona wanaanza jeuri
hawamiini wale walio watoa jasho wanapigwa kama watotoMikia wote wamekimbilia vichakani
Pole sana.. kunywa maji mengi upunguze maumivu dadaMbeya City imecheza mechi J5 na kusafiri kwa basi hadi Dar. Utopolo inapendelewa sana ..
Yanga ilipotoka ugenini mechi ya CAF Confederation Cup na Africain ilikuwaje?Mbeya City imecheza mechi J5 na kusafiri kwa basi hadi Dar. Utopolo inapendelewa sana ..
Mkuu utakufa kwa hii chukiMbeya City imecheza mechi J5 na kusafiri kwa basi hadi Dar. Utopolo inapendelewa sana ..