Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Unazeeka vibaya.Timu ina list ya marefa wote wataochezesha game zake...😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazeeka vibaya.Timu ina list ya marefa wote wataochezesha game zake...😄
Mmeanza lawamaMbeya City imecheza mechi J5 na kusafiri kwa basi hadi Dar. Utopolo inapendelewa sana ..
yanga ilitakiwa iruhusiwe kucheza wold kapu
hizi raha tusipate wananchi pekee bali iwe dunia nzima
hata sasa ivi umwambie al hilal acheze na yanga mshindi anafuzu robo fainal hawez kubali maana anajua kitakacho mkutaKabla hamjaruhusiwa kucheza wold kapu chezeni na Al hilal ya sudan
Ngada fc hamna akiliLigi ya Tanzania ikichunguzwa na FIFA itafungiwa miaka mingii kwa uhuni wa game fixing.
Tff haikati makato ya uwanja Bali serikali,bimaana ndiyo wenye uwanjaTFF wameshindwa kutunza pitch ya Mkapa wanachoweza wao ni makato ya uwanja bila kuwa na matunzo bora hawaangalii viwanja vya wenzetu huko wachezaji wanakuwa mapumziko wataalamu wa nyasi wanaingia uwanjani kurekebisha kiwanja baada na kabla ya gemu...wanachojua wao ni kukata nyasi tuu..
Kisa yanga kashinda au?Ligi ya Tanzania ikichunguzwa na FIFA itafungiwa miaka mingii kwa uhuni wa game fixing.
Accurate crossesKwa kiasi fulani Moloko anaanza kupiga accuracy cross. Kocha awekeze kwake atakuwa bora zaidi.
Hata wewe unaruhusiwa kuchunguzaLigi ya Tanzania ikichunguzwa na FIFA itafungiwa miaka mingii kwa uhuni wa game fixing.
Na ikitokea hivyo Basi ngada ndio itabaki historia kua ilikuwepo timu hiyo,mzigo wa muhindi umekata mnaanza kulialiaLigi ya Tanzania ikichunguzwa na FIFA itafungiwa miaka mingii kwa uhuni wa game fixing.
Kuna hawa mashabiki wa kibu ndio takataka kabisaMashabiki Wa George Mpole Mpo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Usilale bila kumeza PanadolKabla hamjaruhusiwa kucheza wold kapu chezeni na Al hilal ya sudan
Tff inapata fedha nyingi kutoka kwenye huo Uwanja mbona mapato huwa yanatangazwa tena kwa % ina maana hujawahi kusikia kuhusu hilo mpaka BMT pia wana mapato wanapata..Tff haikati makato ya uwanja Bali serikali,bimaana ndiyo wenye uwanja