inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Uwanja wa serikali wewe acha ubishi,wanachukua makato ya uwanja ni serikali,BMT ni baraza la michezo Tanzania, ndiye mwenye dhamana ya michezo kwa niaba ya serikali,sharti wapate Kama tff wanavopata Kama wenye mpiraTff inapata fedha nyingi kutoka kwenye huo Uwanja mbona mapato huwa yanatangazwa tena kwa % ina maana hujawahi kusikia kuhusu hilo mpaka BMT pia wana mapato wanapata..