Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
Karibu sana MWANANCHI!Moderator Maxence Melo Boqin
Huu uzi hauna mantik wala logic.
Kama inawezekana muuhariri ulete maana zaidi ya hapo CTRL+DELETE
Sasaaa,tangu lini watu(wananchi)wakafananishwa na wanyama🤔Simba anapojipatia mawindo yake MAFISI huanza kujichekeshachekwsha kama FISI za watani zangu Wagogo zinapovuka Barabara za lami!
.... na hakuna mnyama hasimu mkubwa wa Simba huko nyikani kama MAFISI. Sasa nashangaa kwanini watani zangu wa Yanga wakaacha kuchukua jina linaloshabihiana na tabia zao Zaidi ... yaani MAFISI na badala yake kujiita ati WANANCHI! 🤣🤣😂
Hivi nyinyi Yanga mnapojiita WANANCHI huwa mnamaanisha nini kama sio kubagua timu za wananchi wenzenu kuwa sio wananchi kama nyinyi!!? .... TAFADHALI SANA SERIKALI, KUPITIA KWA WIZARA HUSIKA, ITUONDOLEE HUU UKABURU KATIKA SOKA LA BONGO AMBALO LINATAKA SANA KUTEKWA NA SIASA!
NB: TAFADHALI SANA MODS MSIUFUTE WALA KUUHAMISHA UZI HUU JUKWAA LA SIASA! ... MAANA SOKA LETU LA SIMBA NA YANGA LINATAKA KUHARIBIWA NA WANASIASA WENYE MLENGO WA UKABURU-MAMBOLEO-BONGO!
unateseka ukiwa wapi mama?Simba anapojipatia mawindo yake fisi huanza kujichekeshachekesha kama fosi za watani zangu Wagogo zinapovuka barabara za lami
Na hakuna mnyama hasimu mkubwa wa simba huko nyikani kama mafisi. sasa nashangaa kwanini watani zangu wa Yanga wakaacha kuchukua jina linaloshabihiana na tabia zao zaidi. Yaani Mafisi na badala yake kujiita ati Wananchi! 🤣🤣😂
Hivi nyinyi Yanga mnapojiita Wananchi huwa mnamaanisha nini kama sio kubagua timu za wananchi wenzenu kuwa sio wananchi kama nyinyi? Tafadhali sana serikali, kupitia kwa wizara husika, ituondolee huu ukaburu katika soka la bongo ambalo linataka sana kutekwa na siasa!
Naona anapiga kigelegele hahahKaribu sana MWANANCHI!
[emoji23][emoji23][emoji23]Naona anapiga kigelegele hahah
Simba anapojipatia mawindo yake fisi huanza kujichekeshachekesha kama fosi za watani zangu Wagogo zinapovuka barabara za lami
Na hakuna mnyama hasimu mkubwa wa simba huko nyikani kama mafisi. sasa nashangaa kwanini watani zangu wa Yanga wakaacha kuchukua jina linaloshabihiana na tabia zao zaidi. Yaani Mafisi na badala yake kujiita ati Wananchi! [emoji1787][emoji1787][emoji23]
Hivi nyinyi Yanga mnapojiita Wananchi huwa mnamaanisha nini kama sio kubagua timu za wananchi wenzenu kuwa sio wananchi kama nyinyi? Tafadhali sana serikali, kupitia kwa wizara husika, ituondolee huu ukaburu katika soka la bongo ambalo linataka sana kutekwa na siasa!
Form 2B.Simba anapojipatia mawindo yake fisi huanza kujichekeshachekesha kama fosi za watani zangu Wagogo zinapovuka barabara za lami
Na hakuna mnyama hasimu mkubwa wa simba huko nyikani kama mafisi. sasa nashangaa kwanini watani zangu wa Yanga wakaacha kuchukua jina linaloshabihiana na tabia zao zaidi. Yaani Mafisi na badala yake kujiita ati Wananchi! 🤣🤣😂
Hivi nyinyi Yanga mnapojiita Wananchi huwa mnamaanisha nini kama sio kubagua timu za wananchi wenzenu kuwa sio wananchi kama nyinyi? Tafadhali sana serikali, kupitia kwa wizara husika, ituondolee huu ukaburu katika soka la bongo ambalo linataka sana kutekwa na siasa!
Waulize WAGANDA! 😅Simba baada ya kukosa kila kitu.
Hivi nyie ni Simba jike au dime?.