Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila watu jaman, khaaaah
Bado unahitaji ban.Unajisumbua tu.
Una dakika 45 za kujitetea. La sivyo andaa 1m hiyo.Kwa kikosi cha Makolo nilichoona Yanga akifungwa leo yaan YANGA apoteze point tatu leo nipigwe BAN ya Mwaka mzima na faini ya milion moja.
Moderators please take noteKwa kikosi cha Makolo nilichoona Yanga akifungwa leo yaan YANGA apoteze point tatu leo nipigwe BAN ya Mwaka mzima na faini ya milion moja.
Hakika[emoji23][emoji23]Mods naomba mtende kadiri ya maombi yake
Wapuuzi sanaIla watu jaman, khaaaah
Amka kakojoe ulaleYanga 2 simba 1
Haiwezekani Kwa timu gani mliyonayo Wewe kenge?Yaan ni kitu haiwezekani
Yaan ni kitu haiwezekani