Yanga akifungwa leo nipigwe ban mwaka mzima

Yanga akifungwa leo nipigwe ban mwaka mzima

Kwa kikosi cha Makolo nilichoona Yanga akifungwa leo yaan YANGA apoteze point tatu leo nipigwe BAN ya Mwaka mzima na faini ya milion moja.
051424CB-2B62-48DB-863C-21356D973C9D.jpeg
 
Kwa kikosi cha Makolo nilichoona Yanga akifungwa leo yaan YANGA apoteze point tatu leo nipigwe BAN ya Mwaka mzima na faini ya milion moja.

Hapo ulipo hata buku huna,sembuse milion?
Kwanza hiyo fine unalipa kwa nani?
IMG_0088.jpg
 
Nilichonifunza kutokana na hii thread ni muhmu sana kuweka akiba ya maneno.
 
Mods tafadhali Sana msameheni mwananchi mwenzetu
[emoji169][emoji172][emoji28]
 
Back
Top Bottom