Yani wewe usifanye watu ni wajinga, izo alama ulizoziweka unataka kutuambia yanga akiwa wa 3 anakusanya alama 2, na Simba akiwa wa 3 anakusanya alama 2? Point za klabu bingwa na shirikisho aziwezi kuwa sawa ata siku Moja, ngoja zichezwe izo mechi na wote waingie makundi ndo utapata jibu lako!Huelewi vitu vingi, umekurupuka. Yanga akiingia makundi sio automatically atakuwa na point 10, hadi ashike namba 3 kwenye group. Wakati huo huo Simba uiombee itolewe katika hatua hii, maana nayo ikiingia inakuwa automatically imejiongezea point 2.5
Ningekuonyesha hesabu zake, ila inaonekana unatakiwa upitie misingi kwanza
Ndio maana nimesema ulikurupuka kuanzisha uzi, matokeo yake ndio haya. Badala ya wewe kutueleza, sasa unauliza!Yani wewe usifanye watu ni wajinga, izo alama ulizoziweka unataka kutuambia yanga akiwa wa 3 anakusanya alama 2, na Simba akiwa wa 3 anakusanya alama 2? Point za klabu bingwa na shirikisho aziwezi kuwa sawa ata siku Moja, ngoja zichezwe izo mechi na wote waingie makundi ndo utapata jibu lako!
Watakuja na kichaka cha kujaza uwanja. Jamaa wamegoma kukubali mpinzani kawapiga bao sasa wamebaki kulazimisha furaha tu.Sio kwamba ilikuwa inauma bali umbumbumbu wenu mlikuwa mkiguswa kidogo mnakimbilia hoja ya rank kuwa nafasi ya 7 sasa mnashushwa kibabe mtake mtashuka mistake mtashuka tu, tuone mtabaki na nini!
Ilikua inawauma sana,na hii ndio kuthibitisha Simba ni timu kubwa.
Unapiga za mbavuKwaiyo izo timu ulizozitaja ata zikikutana na yanga hii unadhani ni nini kitatokea labda kwa akili zako? Na unaposema zilizopo chini yetu bado Kuna zilizokuwepo juu yetu pia na azipo kwa sasa CAFCL msimu huu kwa maana iyo utetezi wako auna mantiki, Simba tunaanza nayo kwakuwa ndio mpinzani wetu wa kwanza mwenye mdomo mrefu, tutaanza nae alafu watafuata wengine,,Na wengine wakiongeza alama ndio watazidi kuisukuma Simba nyuma zaidi kwakuwa point za shirikisho ni tofauti na point za klabu bingwa ivyo itaendelea kula kwenu mpaka akili ziwakae sawa!
Kwa nini utabiri wako umeishia robo fainali kwa timu zote mbili?Nafasi ya chini kwa kuzidiwa na timu izo ulizozitaja za Pyramid, al hilal na raja Casablanca? Unasema wydad ndo ayupo vipi USM Alger Yuko klabu bingwa msimu huu?
Na hapa ndipo vyura huwa wanateseka mno. Furaha yao wamewekeza kwenye huzuni za Simba huku Simba ikifurahia lolote lililo positive katika msimu matokeo yake unahisi watu wanalazimisha furaha kumbe wanafuraha na jambo lao +ve regardless ya msimu.Watakuja na kichaka cha kujaza uwanja. Jamaa wamegoma kukubali mpinzani kawapiga bao sasa wamebaki kulazimisha furaha tu.
yaani tmu inacheza utumbo uwanjani inashindwa kupiga on target hata moja mechi nzima halafu uwe na furaha ya kujaza uwanjaNa hapa ndipo vyura huwa wanateseka mno. Furaha yao wamewekeza kwenye huzuni za Simba huku Simba ikifurahia lolote lililo positive katika msimu matokeo yake unahisi watu wanalazimisha furaha kumbe wanafuraha na jambo lao +ve regardless ya msimu.
Hapo ndo mnapoteseka vyura mpaka mnaanza kupigana na vichaka na uzuri Simba huwa haikosi vichaka vya kuwapa mpambane navyo huku yenyewe ikijenga timu. Si mnaona mlivyopambana na kichaka cha Chama, mpaka mmekifyeka.yaani tmu inacheza utumbo uwanjani inashindwa kupiga on target hata moja mechi nzima halafu uwe na furaha ya kujaza uwanja
piga haooo bado wanapumuaMnapiga mahesabu yenu kwa kuiwazia Simba ambaye hata hamko katika mashindano sawa, mnasahau kwamba mko kwenye ushindani na Raja, Pyramids, Al Hilal hizi zote zina point chini yenu ila zipo CAFCL na mnaweza kukutana nao. Hapo sijataja timu zote ambazo zipo juu yenu ambazo nazo zinaendelea kukusanya point. Mnadanganyana utadhani wengine wooote wataacha kucheza, ni nyie tu mtaendelea kukusanya points. Na hapo mnadhani mtaendelea kukutana na Vital'O na CBE. Bandiko limejaa nadharia kuliko uhalisia.
akili zako na Joyce Kilia mule muleNi wajinga na wapumbavu ambao wanaamini simba ni Bora kuliko Yanga.
Mo ni mzee wa kususa susa, ni mtu wa Chupli na samjo sana.
Muwekezaji wa simba ni Tatizo kubwa sana.
SIMBA INASAJILI CHEEP LABOUR DARAJA LA 4,5 INAWAACHA AKINA.
Dube.
Feisal.
Mayele.
Pakome.
Azizi.
Mpanzu
Kapumbu nk
najua inawauma sisi kujaza uwanja , mmeshagawa hadi supu lakini uwanja hamjazi, kwa aibu mmekimbilia ka kiwanja kadogo kwa bi kizimkazi, kiingilio 1000 , VIP 3000 na bado hamtajazaWatakuja na kichaka cha kujaza uwanja. Jamaa wamegoma kukubali mpinzani kawapiga bao sasa wamebaki kulazimisha furaha tu.
Dube on target 10 , kafunga mojayaani tmu inacheza utumbo uwanjani inashindwa kupiga on target hata moja mechi nzima halafu uwe na furaha ya kujaza uwanja
Ingieni makundi kwanza ndiyo mlete hiyo mistari, wale wahabeshi wanaweza kupindua meza.Yanga anazo point 31 kwenye rank za CAF, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8
Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama ataishia makundi!
Simba anazo alama 39, akiingia makundi anaongeza alama 1×5=5, ukijumlisha na alama zake 39 walizonazo wanafikisha 44, hapo ni endapo ataingia makundi!
Alama hapo zinakuwa zimebaki tofauti ya alama 3!
Sasa yanga akiingia robo fainali hadithi inageuka na chaka linafyekwa rasmi maana atafikisha alama 56 na Simba kama ataingia robo fainali atafikisha alama 54!
Hivyo basi Simba ajipapatutue aingie makundi ili angalau aongeza hizo alama 5 kama anataka kuendelea kuwa eneo salama kwenye rank tofauti na hapo ataondoshwa kwenye hiyo nafasi asubuhi na mapema kabla jogoo hajawika!
Msichokijua, wakati mnaota kufyeka hicho mnachoita "kichaka", mnaweza kufanya kazi bila malipo ya kuipandisha Simba katika hizo hizo rank. Tafuta uzi wangu niliowahi kusema kuhusu CRB na angalia nini kilichoenda kutokea. Sasa nawaambieni, mkipangwa na Mamelodi, kuna uwezekano mkubwa Simba ikapaa zaidi katika hizi ranking kuliko mnavyoota katika uzi huu. Nitakuja kufafanua wakati mwingine.Unakiwaza kichaka ukiona kinafyekeka..!!!
Embu kumbuka vichaka hivi hapa;
1. Sisi wa kimataifa, hakipo
2. Sisi wa ligi ya mabingwa, kimeyoyomea mbali
Sasa kichaka cha rank, kipo njiani kufyekwa..!!
Na hao waarabu wakiwatoa, ndo basiii tenaaa..!!!
We jiropokeshe yote, lakini Jumapili ndo mwisho wenu. Na kutakuwa hakuna kichaka cha kujifichia..!! Vyote vitakuwa vishafyekwa.Msichokijua, wakati mnaota kufyeka hicho mnachoita "kichaka", mnaweza kufanya kazi bila malipo ya kuipandisha Simba katika hizo hizo rank. Tafuta uzi wangu niliowahi kusema kuhusu CRB na angalia nini kilichoenda kutokea. Sasa nawaambieni, mkipangwa na Mamelodi, kuna uwezekano mkubwa Simba ikapaa zaidi katika hizi ranking kuliko mnavyoota katika uzi huu. Nitakuja kufafanua wakati mwingine.
mahesabu yako umeyapiga vibayaYanga anazo point 31 kwenye rank za CAF, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8
Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama ataishia makundi!
Simba anazo alama 39, akiingia makundi anaongeza alama 1×5=5, ukijumlisha na alama zake 39 walizonazo wanafikisha 44, hapo ni endapo ataingia makundi!
Alama hapo zinakuwa zimebaki tofauti ya alama 3!
Sasa yanga akiingia robo fainali hadithi inageuka na chaka linafyekwa rasmi maana atafikisha alama 56 na Simba kama ataingia robo fainali atafikisha alama 54!
Hivyo basi Simba ajipapatutue aingie makundi ili angalau aongeza hizo alama 5 kama anataka kuendelea kuwa eneo salama kwenye rank tofauti na hapo ataondoshwa kwenye hiyo nafasi asubuhi na mapema kabla jogoo hajawika!