Kalime Dengu tu, uchambuzi haukufaiNilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina bocco, hussein, chama, kapombe na ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Mmh ngoja tuanze kukupinga kwa hojaNilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina bocco, hussein, chama, kapombe na ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Gamond nae katili mno. Badala ya kurusha fataki yeye kawatupia NYUKILIAUkisikia kuchanganyikiwa ndio huku, kweli aliyetoa msemo wa "MPAKA USEME" kwenye hii derby aliwaza mbali. Kila mtu anakuja na nyuzi za kutapa tapa mwingine ana dai kuwa kuna usaliti, wewe nawe unekuja na magoli sio halali. Hakuna anayetaka kukubali kuzidiwa, tufanye hizo sababu zote ni sahihi hivyo tumalize mjadala Simba ni timu bora iliyokamilika Yanga wamepata magoli kwa msada wa wasaliti na waamuzi. Mficha maradhi...........
Mimi nimeandika nilichokiona na sio suala la ushabiki.Ukisikia kuchanganyikiwa ndio huku, kweli aliyetoa msemo wa "MPAKA USEME" kwenye hii derby aliwaza mbali. Kila mtu anakuja na nyuzi za kutapa tapa mwingine ana dai kuwa kuna usaliti, wewe nawe unekuja na magoli sio halali. Hakuna anayetaka kukubali kuzidiwa, tufanye hizo sababu zote ni sahihi hivyo tumalize mjadala Simba ni timu bora iliyokamilika Yanga wamepata magoli kwa msada wa wasaliti na waamuzi. Mficha maradhi...........
Kosa likifanyika mechi moja halihalalishwi kwenye mechi nyingine.Mmh ngoja tuanze kukupinga kwa hoja
1.Magoli yote ya YANGA ni halali...
2.Goli la 2 sio faulo ukiangalia mech ya Yanga vs Azam goli la 3 au unaangaliaga bundesliga au uefa refa analeta tu sio KILA kitu filimbi......Naongezea unakumbuka faulo MUdathiri kadakwa mguu na kapombe kwenye box ile ilikuwa ni kitu ganii?????(CLEAR penalty)) ila refa alivunga tu
3.Angalia vizuri inonga aligusa mguu wa max kwanza mpira hajaugusa
4.Wachezaji wazee Wana umuhimu ila kuwaondoa kwenye timu ni taratibu taratibu kama Guardiola anavofanyaga kutafuta back up
Kafala haka kajamaaKalime Dengu tu, uchambuzi haukufai
4 tu ndio point
Hii nchi kazi rahisi kuliko zote ni uchambuzi wa soka.Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina bocco, hussein, chama, kapombe na ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Kama ndicho ulichokiona wahi dispensary, una matatizo ya kuonaMimi nimeandika nilichokiona na sio suala la ushabiki.
Huku akipepesuka,aliendelea kujifariji kuna kipigo cha 5,sijui 6. Unasahau ulitanguliwa kugongwa 6 na YANGA. Au unajichomoa fiuz dada?Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina bocco, hussein, chama, kapombe na ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Hakuna cha mgomo Wala nini, Simba ni mbovu na Leo imekandwa ikakandika full stop!! Mkubali tu yaishe! Mkiendelea kubisha mechi ijayo ya derby ni yetu tutawapiga wiki (7-0).Nawe unaelezea nini meku,hebu tulia tumefungwa banah tujipange tu maana timu ipo kwenye mgomo