Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.