Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Mwanasimba mwenzio huyoAcheni kuweweseka na kutafuta sababu zisizo na msingi pambaneni hapo hapo mlipo,malalamiko fc mnazingua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanasimba mwenzio huyoAcheni kuweweseka na kutafuta sababu zisizo na msingi pambaneni hapo hapo mlipo,malalamiko fc mnazingua sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie mjipange dhidi ya Medeama.Badala ya kujipanga dhidi ya Wydad upo unaangaika na Yanga
Aahaaaa
Sasa kilichowashinda hiyo nafas 1 ya CL kuwepo Yanga ni nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ilikuwa inashiriki club bingwa?
Kama ingekuwa club bingwa ni lazima ingepangwa Kundi moja ni Al Ahly?
Kumbuka mwaka huo Tanzania ilioewa nafasi moja tu ya champions league.
Anazingua sana uwezo wa timu haupimwi kwa kuwekwa na vibonde,nani aliwaza kwenye group la simba mwarabu atapoteza mechi mbili tena moja sebuleni kwakeMwanasimba mwenzio huyo
Naona bado unakomaa na historia za kabla ya yesuSasa kilichowashinda hiyo nafas 1 ya CL kuwepo Yanga ni nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna unachekesha hiviii. Lol
Kuamini makundi yote ni sawa ni kutokuwa mkweli.CAFCL hakuna group jepesi. Ndio maana Wydad na Mamelodi wanafungwa.
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona bado unakomaa na historia za kabla ya yesu
Aahaaaaa
Sio kweli...acha kudanganyaMwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa
Waendelee kusem tu, kuwa Young African itampiga Al Ahly, CR. B na Modeana, ila wasije kulalama baada ya kupigwa na kusema kundi lao gumu.Tambo ni jambo la kawaida kwenye michezo
Kikubwa Yanga apambane hizi mechi nne zilizobaki apate aidha ushindi au uzoefu
CL ata mwaka kesho ipo
Simba ameshawahi kupangwa group moja na Al Ahly ikiwa on fire mara mbili hivi karibuni na Al Ahly mechi zote mbili alifungwa hapa Tanzania.he saying the truth. yanga group ni gumu sana. very tactical
Miaka 25 Yanga haikukanyaga group stage ya CAFCL ina maana miaka yote hiyo hatua za awali alikuwa anapangiwa waarabu watupu?Mwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa
Tunayaheshimu sana mawazo yako.Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Au ulikuwa ujazaliwa?
Wakati wa COVID-19 ilikuwa rahisi Simba kuongoza kundi mbele ya Al Ahly.
Kipindi cha corona kile nchi pekee ligi yake aikusimama ilikua TZ huku bado janja janja ya kupuliza sumu vyumbani aijagundulika 😃,mzee 🖐 sasa hivi timu zimejipangaSimba kwenye ubora wake aliongoza group likiwa na al ahly na walimpiga taifa ila yanga imara ina point moja na inaburuza mkia simba ina poi
Mazembe shirikisho alipigwa na Yanga nje ndani,ebu tupe takwimu zake kwenye klabu bingwa msimu huu 😃🖐Hata Simba angepangwa Lile kundi la yanga kwenye kolbe la shirikisho angelichukua mazima sio kufika fainali pekee!
Tuliwaambia mkabisha kuwa mwingine unaweza kuwa na kikosi Bora ila ukapangwa kundi gumu. Msimu huu yanga ana kikosi Bora ila Lile kundi ni gumu. Ndicho amekuwa akikutana nacho Simba!
Yanga msimu ulioisha alikuwa na Bahati na team za kawaida!
Na msimu huu Kwa Lile group lenu lilivyo siwaoni mkifika robo fainali.
Kipindi cha corona kile nchi pekee ligi yake aikusimama ilikua TZ huku bado janja janja ya kupuliza sumu vyumbani aijagundulika [emoji2],mzee [emoji870] sasa hivi timu zimejipanga