Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

Nyie ambao hamkimbii kimbii, tokea msimu huu umeanza, ni mechi ipi ambayo mmeshinda?
Afadhali Simba msimu huu haijashinda,Yanga tangu kuanzishwa kwake hadi sasa haijawahi kushinda mechi yoyote ya makundi klabu bingwa
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Hivi Makolo watakubali kweli? Ila huo ndio ukweli! Na bado Yanga ana nafasi ya kufanya vizuri tu. Na nikwambie mkuu akitoboa kwenda robo tutarajie ya mwaka jana kujirudia!
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Huyo uto mwingine keshaanza kuweweseka mapema!! Nimkumbushe tu kuwa huu mkando wa kwenye makundi ambao miaka 25 zilizopita alishika mkia akiwa na ponti 2 hii ndiyo chapions league!! Uto aliingia na makeke akidhani haya ni mashindano ya losers!! Huyo kinara wa kundi lake yaani Al Ahly tulikuwa naye kundi moja na hakufua dafu na Simba akaongoza kundi!! Hii ni champions league siyo confederation aka losers cup!! Tulia uto sindano ikuingie vizuri!! Uto itabidi mzoee map;ema tu kushikilia mkia mwanzo mwisho!! Medeama itawakung'uta nje ndani!!
Kumbuka mlisema mtampiga Al Ahly ndani nje yako wapi sasa? Nawashauri komaeni tu na NBC Premier League!! Huko kwa kimataifa mmepotea njia!!
Uto mnachotakiwa kujua ni kwamba kwenye caf champions league huwa hakuna kibonde labda uto tu ndiyo kibonde!! Subiri kipigo toka kwa medeama ndo ujue kuwa huku siyo kombe la losers!!
 
Mwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa
Story za kufikirika Simba hii mbovu imepata sare mbili mbele ya AHALY Tena AHALY kachomoa na tunasubiri na YANGA Bora ikapate sare mbili mbele ya AHALY,unaleta story za mabingwa wa Ghana ,Algeria Bado haujasema hii ni club bingwa sio shirikisho .
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Kwani hamruhusiwi kuomba mjiunge na hilo kundi?Akili za kichurachura hizo.
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Kwani hamruhusiwi kuomba mjiunge na hilo kundi?Akili za kichurachura hizo.
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Ata Simba angepangiwa kundi la Utopolo basi Simba angeongoza
 
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi

Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Tumewazoea na upuuzi wenu mwanzo mlisema kuwa kwa Al ahly iliyocheza na Simba Nyinyi mtaitandika Goli..
Kikawakuta kitu Muombe Tu Mungu alikuwa upande wenu Vinginevyo Tumewazoea wazee wa IMAGINATION
Vitendo sifuri..Mngeonyesha hivyo kwanza mkawaprove simba Wrong kwa alahly
 
Simba Ana point 2 kwenye KUNDI la aina Gani? Ukiwa unalinganisha pia uweke na data vizuri usisahau
Acha uzwazwa...Tuliulizana mapema sana hapa kuwa, tuseme mapema kama Young African na CR. B au Young African na Al Ahly nani mbovu...?
Wadau kajibu Young African ndiyo mbovu, na kweli ni mbovu hadi sasa ( 1 point)...
Simba Sc inajulikana tayari kuwa inashida mahali.

Sawa...tuulizane tena kuwa Young African na Modeana, nani mbovu... mimi nasema Modeana ndiyo mbovu...

Usilete habari za, oh! , tupo kundi gumu, mbona mwanzo mlikuwa mnajitamba kuwa mtampiga Al Ahly nje ndani na kwenye kundi hakuna wa kuwatisha...leo ndiyo mnasema kundi lenu ni gumu...

YOUNG AFRICAN ILITIMIZA MALENGO YAKE KITAMBO ( MAKUNDI)
 
Mechi ijayo mwarabu anadroo na mwarabu mwenzake wote watakuwa na point 4
 
he saying the truth. yanga group ni gumu sana. very tactical
Group gumu kwa yanga? Ahaly kwake sio gumu ubora wa yanga uko wapi sasa uliokuwa unasemwa? Before makundi midomoni algeria mlisema mnapafahamu ata sare amkosi ahaly mkawaita unga sahizi kauli zimebabdilka hesabu zimekuwa nyingi. Mashabiki wa Tanzania na raia wote vichwa vina matope
 
Mwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa
Maneno mengi vitendo kidogo kashinde mechi ghana acheni porojo ata ahaly hamkutambua ubora wake before kwasabbu ameshindwa kumfunga simba baada ya mechi ndo akili zimewaajia
 
Acha uzwazwa...Tuliulizana mapema sana hapa kuwa, tuseme mapema kama Young African na CR. B au Young African na Al Ahly nani mbovu...?
Wadau kajibu Young African ndiyo mbovu, na kweli ni mbovu hadi sasa ( 1 point)...
Simba Sc inajulikana tayari kuwa inashida mahali.

Sawa...tuulizane tena kuwa Young African na Modeana, nani mbovu... mimi nasema Modeana ndiyo mbovu...

Usilete habari za, oh! , tupo kundi gumu, mbona mwanzo mlikuwa mnajitamba kuwa mtampiga Al Ahly nje ndani na kwenye kundi hakuna wa kuwatisha...leo ndiyo mnasema kundi lenu ni gumu...

YOUNG AFRICAN ILITIMIZA MALENGO YAKE KITAMBO ( MAKUNDI)
Tambo ni jambo la kawaida kwenye michezo

Kikubwa Yanga apambane hizi mechi nne zilizobaki apate aidha ushindi au uzoefu

CL ata mwaka kesho ipo
 
"Kama al ahly ametoa droo na simba ,basi sisi tunampiga nje ndani" utamu wa mwiko ulivyonoga nyuma.
 
Back
Top Bottom