Let say ingekuwa #1 una uhakika gani ingepangwa na Al Ahly?Sasa kilichowashinda hiyo nafas 1 ya CL kuwepo Yanga ni nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna unachekesha hiviii. Lol
Kabisa..!! Kuna mambo yao yanakufa natural death, mfano neno wa kimataifa halisikiki tena..!!Aahàaaaa
Yanga akifungwa ndo wanapata kichaka cha kujifarijia
Wakati huo mlienda kushiriki UEFA champions league maana mlikuwa daraja la juu sasa kwa nini yanga msingetumia fursa hyo kuchukua Caf champions league mliishia wapi?Kipindi cha corona kile nchi pekee ligi yake aikusimama ilikua TZ huku bado janja janja ya kupuliza sumu vyumbani aijagundulika [emoji2],mzee [emoji870] sasa hivi timu zimejipanga
Akili hzo za kufikiria hawana yaani kama wao walizuia kushiriki matokeo yake wamekutana na vibonde mwaka jana marumo gallant.Na Yanga ilikuwa haijaanzishwa bado kipindi hicho
Imeanzishwa juzi ilpomwagia ndani bao 5 kwa makoloNa Yanga ilikuwa haijaanzishwa bado kipindi hicho
Imeanzishwq juzi ilimwagia ndani bao 5 kwa makolo
Kwani wana point ngapi hadi sasa?Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Tumjulishe na zile za kono la nyani tulizompiga 5imba au 😂🖐Kwani wana point ngapi hadi sasa?
Ata yanga ni bingwa wa tanzania.na ndo maana mashindano yanaitwa ligi ya mabingwa.Mabingwa ndio wanaopambana tofauti na hapo ni kiwewe kinawasumbua.Mwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa
Mli ishia wapi vileSimba kwenye ubora wake aliongoza group likiwa na al ahly na walimpiga taifa ila yanga imara ina point moja na inaburuza mkia simba ina poi
Sasa itasaidia nini ikiwa sio Yanga? Maana Al Ahly miaka yote anacheza fainali wala sio ajabu kwake kufanya hivyo au wenzetu Yanga ndio mmejua jana ubora wa Al Ahly?Kwenye group la Yanga, naamini timu moja itacheza fainali. Maana siyo kwa mpira ule wa jana.
Kusema tutasema,Waendelee kusem tu, kuwa Young African itampiga Al Ahly, CR. B na Modeana, ila wasije kulalama baada ya kupigwa na kusema kundi lao gumu.
Lilishakufa kitamboKabisa..!! Kuna mambo yao yanakufa natural death, mfano neno wa kimataifa halisikiki tena..!!
Kundi la mikia mabingwa wa nchi zao ni jwaneng na asec,waliobakia viti maalum,kundi la Yanga ndilo kundi lililokutanisha timu zote 4 ni mabingwa wa nchi zaoAta yanga ni bingwa wa tanzania.na ndo maana mashindano yanaitwa ligi ya mabingwa.Mabingwa ndio wanaopambana tofauti na hapo ni kiwewe kinawasumbua.
Kupiga nje ndani imeshafeli kwa CR. B na Al Ahly, tusubiri kwa Modeana labda.Kusema tutasema,
Na mpira tutacheza
Kama ni kundi gumu,kwa nini mliwavalia msuli Al Ahly tena bila nguo za ndani!Mlikuwa mnataka mfunuliwe kirahisi?Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18