Ukiona unaota sana ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi.Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Ni kujitoa ufahamu tu.Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Tunashukuru sheikh yahayaUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Sawa mtabiri wewe endelea kutabiriUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
In the darkest hours of difficulties there is always a twilight to lead throughWewe mzee hivi hiyo chemli kwenye ulimwengu wa giza uwa ina maana gani nakumbuka hata yule marehemu wa WWE Bray Whatt alikuwa anapenda sana kuingia nayo ulingoni huku taa zote zikiwa zimezimwa
kolo fc watapoteza 6na droo 8,piga mahesabu bngwa nani...Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Usisahau juhudi za marefaNi kujitoa ufahamu tu.
Kuna kila dalili Simba atapoteza mechi karibu tano either kwa draw au kwa kufungwa. dalili zipo na kuna siku yatatokea tu, kuna kila dalili maana ukuta unavuja sana karibu kila mechi anafungwa na kinachosaidia ni juhudi tu za mchezaji mmojammoja ambaye anasawazisha au kufunga goli la kitatanishi.
There's every sign that this team is weak asf na kuna sku tu huu mchezo wao wa kurudi kinyumenyume watakalia hogo.
SawaUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Mleta mada aje atupe mrejeshoIdadi ya point za atakazopoteza kwa kufungwa: 3*3 = 9
Idadi ya point atakozopoteza kwa kusare: 3*2= 6
Jumla ya point atakazopoteza: 9+6 = 15
Idadi ya mechi kwenye ligi: 30
Jumla ya point za mechi zote 3*30 =90
Jumla ya point atakazokusanya: 90-15 =75
Kwa hiyo yanga atakusanya point 75.
Swali, je msimu uliopita yanga alikusanya point ngapi zilizomwezesha kuwa bingwa?
Naam atapigwa nje ndani kenge wa kijani hawaUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Hizi huwa zina limitUsisahau juhudi za marefa
Asante kwa heshima[emoji1545] lakini usinihukumu sasa! Naomba tuupe muda wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok basi sawaSijakuhukumu mzee wangu ila hayo matunguli yamekudanganya
Utaliwa sana kuku na waganga kwa mwendo huo1. Kuna mtu alitoa utabiri mechi ya IHEFU vs YANGA, mwanzoni alianza kwa kutukanwa ila mwishoni watu wakampa maua yake. Inaonyesha wengi humu ni Matomaso au wenye ujuaji wa hovyo siyo?
2.Kisa cha kifo cha JPM kilishasababisha nisiwe nawabishia sana watu,kama nina mashaka bora nikae kimya tu. Kama mtakumbuka, kabla hata ya Uchaguzi Mkuu 2020 kuna watu walishauri ingekuwa vyema JPM asingegombea tena maana hangemaliza mhula wake wa pili. Ila wabishi tukawatukana na kuwazodoa watabiri wale. Mambo yalivyotokea kama ilivyotabiriwa threads zikaanza kufufuliwa. Huwa tunasubiri hadi itokee eeeh?
3.Kitendo cha Simba kukipeleka kijezi chake kileleni mwa Mt.Kilimanjaro ni kiko ki spiritual zaidi. Na tahadhari ilishatolewa.
Mkiwa kwenye majukwaa ya michezo mwasema "haya mambo hayana nafasi kwenye soka". Ila makazini na kwenye biashara mnafanya shirki kubwa za kumkera Mwenyezi Mungu. Wanafiki wakubwa!Utaliwa sana kuku na waganga kwa mwendo huo