akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Coastal katuamushia aliekalala, yani nyie mlitakiwa mumfunge Coastal ili Uonzo wenu muendelee kuamini kuwa unanukia, lkn ile 2-2 Yanga ijiandae kucheza na matunguli yenu yatakayo7bisha kuwapunguzieni magoli badala Chuma 5 iwe Nondo 3.Sababu
1...mechi mnayoanza away dhidi ya mc Alger lazima ugongwe na vilainishi
2....ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed abdelrahman )
3...mc Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya
4...To mazembe ndio kabisaaa hamsogelei kenge nyie
Chonde Chonde al hill msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie
YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!
Mataa ya Koo nyie.