Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washamfunga TP Mazembe msimu uliopita walimkimbiza
Hakuna tofauti ni sawa tu na ile waliyocheza mama Aziz, Mama Diara, Mama Mwanyeto na wenzio
Mashindano ya akina mama hamyajadiliWashamfunga TP Mazembe msimu uliopita walimkimbiza
Hakuna tofauti ni sawa tu na ile waliyocheza mama Aziz, Mama Diara, Mama Mwanyeto na wenzio
Sawa Mama NgaraMashindano ya akina mama hamyajadili
Mnataka mjadili CAFCL
Simba ya akina mama
Makolo marufuku kuongelea CAFCLSawa Mama Ngara
Sawa Mama Ngara,nakuona upo kwenye siku zakoMakolo marufuku kuongelea CAFCL
Hebu ongelea mashindano ya akina mama ambayo Simba inaahiriki
Lini Yanga mtaacha utoto? Hamna rekodi zozote za kujitutumua hivyo. Unyenyekevu nao ni busara.Kwaiyo Mpira unachezwa chumbani? Kuna timu Gani hapo kati ya hizo atujaziona zikicheza? Ubora wa hizo timu ukilinganisha na yanga akuna iliyo juu ya yanga kiubora au unataka tusemeje labda?
Hata mwaka juzi na mwaka jana story zilikuwa hizi hizi.Technically bila upendeleo wowote sioni yanga akipata point hata 1 katika kundi hilo
Nashukuru Sana mkuu, endelea kunywa kinywaji pendwa hapo, nikija hapo nitalipia, nipo hapa natafuta goli la tatu la mke wa nyuma MWIKO...anatukana sna na kumkashifu mmeo hajui shughuli Kama mimiPongezi sana mkuu unajua kusaga kunguni mbaya mbovu... Hongera sana Boss
Hawa hamna kitu, wanapaniki kuona ukweliLini Yanga mtaacha utoto? Hamna rekodi zozote za kujitutumua hivyo. Unyenyekevu nao ni busara.
Atuna rekodi ya kujitutumua? Ebu ficha ujinga wako, unataka rekodi zipi? Umecheza shirikisho ilo kombe la wakinamama na uliishia robo fainali kwa kuchoma uwanja wa watu moto but yanga ameenda pale amecheza fainali sio rekodi? Yanga kakusanya alama 25 ndani ya misimu 2, wewe umekusanya alama 39 kwa misimu 6! Bado unabwata eti atuna rekodi?Lini Yanga mtaacha utoto? Hamna rekodi zozote za kujitutumua hivyo. Unyenyekevu nao ni busara.
Sibishani na mtu ambaye hata anachokiongea hakijui wala hajitambui. Unaliita kombe la wakina mama wakati huo huo unajisifu kufika fainali kombe hilo hilo. Unakuwaje bingwa wa kihistoria halafu unakuwa nafasi ya 75?Atuna rekodi ya kujitutumua? Ebu ficha ujinga wako, unataka rekodi zipi? Umecheza shirikisho ilo kombe la wakinamama na uliishia robo fainali kwa kuchoma uwanja wa watu moto but yanga ameenda pale amecheza fainali sio rekodi? Yanga kakusanya alama 25 ndani ya misimu 2, wewe umekusanya alama 39 kwa misimu 6! Bado unabwata eti atuna rekodi?
Yanga ndani ya misimu 2 katoka nafasi ya 75 kwenye rank za caf mpaka nafasi ya 12 bado sio rekodi?
Yanga anayo medali ya mshindi wa pili confederation cup wewe unayo? Misimu yako 5 nyuma umesogea wapi kimafanikio kwenye michuano ya kimataifa? Wenzako wanaonyesha improvement kutoka hatua Moja kwenda mbele je wewe tuambie umesogea wapi? Alafu unakaa umeshiba makande unasema amna rekodi za kujitutumua, kama wewe ni mwanaume nenda kafike hata iyo fainali ya iyo looser cup tuone kama ni rahisi!
Yaani we jamaa unajitetea usenge TU huna Cha maana unachoongea.....unakashifu na kusema kombe la wamama, hapohapo unaisifia Yanga kucheza fainali kombe hilo Hilo, we mzima kweli??, huna akili Acha umaku kenge ww sawa???...Atuna rekodi ya kujitutumua? Ebu ficha ujinga wako, unataka rekodi zipi? Umecheza shirikisho ilo kombe la wakinamama na uliishia robo fainali kwa kuchoma uwanja wa watu moto but yanga ameenda pale amecheza fainali sio rekodi? Yanga kakusanya alama 25 ndani ya misimu 2, wewe umekusanya alama 39 kwa misimu 6! Bado unabwata eti atuna rekodi?
Yanga ndani ya misimu 2 katoka nafasi ya 75 kwenye rank za caf mpaka nafasi ya 12 bado sio rekodi?
Yanga anayo medali ya mshindi wa pili confederation cup wewe unayo? Misimu yako 5 nyuma umesogea wapi kimafanikio kwenye michuano ya kimataifa? Wenzako wanaonyesha improvement kutoka hatua Moja kwenda mbele je wewe tuambie umesogea wapi? Alafu unakaa umeshiba makande unasema amna rekodi za kujitutumua, kama wewe ni mwanaume nenda kafike hata iyo fainali ya iyo looser cup tuone kama ni rahisi!
Kenge ni mama yako acha upuuzi taahira wewe, unaleta matusi hapa, nani ajui matusi? Kamlaumu mwanachama wenu Kaduguda umuulize kwanini aliyaita mashindano ya wakinamama, Sasa ayo mashindano ya wakinamama tuone kama unao uwezo wa kufika ata iyo fainali, mnajizimaga data mnadhani Kila mtu hapa ni mbumbumbu? Tena ukome kuleta matusi hapa kama ni bangi unavutia chooni kajibizane na wajinga wenzio uko!Yaani we jamaa unajitetea usenge TU huna Cha maana unachoongea.....unakashifu na kusema kombe la wamama, hapohapo unaisifia Yanga kucheza fainali kombe hilo Hilo, we mzima kweli??, huna akili Acha umaku kenge ww sawa???...
Kukosa mvuto hapo ndio point kuu.Hili Kundi wamekutana vilaza wote..
Ni moja ya kundi ambalo halina mvuto.
Wewe unakijua unachokiongea? Historia au rekodi aiwezi kukufikisha popote, mlichobakiza ni icho wenzenu wanaangalia current performance wewe unaangalia rekodi, kama rekodi zinasaidia zingekusaidia ukacheza klabu bingwa msimu huu! Mbona unacheza shirikisho?Sibishani na mtu ambaye hata anachokiongea hakijui wala hajitambui. Unaliita kombe la wakina mama wakati huo huo unajisifu kufika fainali kombe hilo hilo. Unakuwaje bingwa wa kihistoria halafu unakuwa nafasi ya 75?
Mlipoenda Ikulu, pamoja na kunyang'anywa mchezaji wenu, Rais pia aliwazodoa kuwa nyie siyo wa kwanza kufika fainali maana mlikuwa mnajitoa ufahamu. Wenzako hawaongelei tena hilo, wewe bado unajitutumua.
Timu zinazocheza na Simba kwenye hilo kombe la kina mama kama Zamalek, Berkane, Constantine na CS Sfaxien zina rekodi bora kuliko Deportivo de Utopolo.