Yanga atashika mkia kwenye kundi lao, ni kibonde wa kundi

Yanga atashika mkia kwenye kundi lao, ni kibonde wa kundi

Wewe unakijua unachokiongea? Historia au rekodi aiwezi kukufikisha popote, mlichobakiza ni icho wenzenu wanaangalia current performance wewe unaangalia rekodi, kama rekodi zinasaidia zingekusaidia ukacheza klabu bingwa msimu huu! Mbona unacheza shirikisho?
Hizo timu ulizozitaja hapo kuwa Zina rekodi Bora kwanini zipo shirikisho kama Zina ubora kwa sasa? Walishindwa nini kucheza klabu bingwa? Rekodi unazozisema si zingewabeba, kiwango chako kibovu na ubovu wa timu yako ndio umekupeleka shirikisho maana kama zisingekuwepo nafasi 4 za kuwakilisha nchi Simba isingeshiriki michuano yoyote msimu huu kwa nafasi mliyokuwepo kwenye ligi!
Mmepata bonus ya kupelekwa shirikisho bado mnajiona ni timu Bora kwa uwezo Gani labda mlionao?
Robo fainali tu ya iyo shirikisho mlienda kuwanga mchana kweupe kwenye uwanja wa watu ili kufuzu na bado mlitandikwa vile vile uliona wapi yanga anafanya ule ujinga kwenye kombe kama ilo na bado unajiita mkubwa, Rage alimaliza Kila kitu ndio wanachama wake dizaini yako anaowaongoza mangungu!
🎵🎵 Hasira za nini we bwana. Wataka kuniua bure eeh bwana 🎶🎵

Povu lote hilo kisa unadhani mpira ni kama mchezo wa draft
 
Jimalize ni sana mashabiki wa mikia ..kengezdad nyie.!
 
Sababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe

2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )

3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya

4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei

Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie

YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Tunashukuru kua umekiri timu zote kwenye kundi ni timu nzuri sana kwa maana hiyo Yanga ndie mbovu, usije kukengeuka baadae useme Yanga kakutana na timu zishajichokea
 
Ukweli ni kwamba timu zetu za Tanzana bara zina wakati mgumu kwenye makundi ya mashindano ya kimataifa hakuna mwenye uhakika wa kutoboa robo fainali tukiacha ushabiki pembeni,Simba mwisho wake ni robo yanga bado anajitafuta kuweka historia kiufupi bado mchanga kwenye mashindano haya.

Msirubuniwe na wasemaji wenu waliozoea mambo ya kiswahili kukuza mambo,
Anajitafuta kuweka historia gani? Simba mwisho robo kwenye kila mashindano, yanga yeye shirikisho fainali na CL ni robo anajitafuta wapi sasa?
 
Sababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe

2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )

3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya

4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei

Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie

YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Kuna mwenzio mhasibu alikuja na maneno yanayofanana na haya, lakini imekuwa tofauti. Tunza hii ije ikutie aibu.


CC: OKW BOBAN SUNZU
 
Sababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe

2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )

3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya

4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei

Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie

YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Utakuwa ndotoni wewe siii buree?
 
Atuna rekodi ya kujitutumua? Ebu ficha ujinga wako, unataka rekodi zipi? Umecheza shirikisho ilo kombe la wakinamama na uliishia robo fainali kwa kuchoma uwanja wa watu moto but yanga ameenda pale amecheza fainali sio rekodi? Yanga kakusanya alama 25 ndani ya misimu 2, wewe umekusanya alama 39 kwa misimu 6! Bado unabwata eti atuna rekodi?
Yanga ndani ya misimu 2 katoka nafasi ya 75 kwenye rank za caf mpaka nafasi ya 12 bado sio rekodi?
Yanga anayo medali ya mshindi wa pili confederation cup wewe unayo? Misimu yako 5 nyuma umesogea wapi kimafanikio kwenye michuano ya kimataifa? Wenzako wanaonyesha improvement kutoka hatua Moja kwenda mbele je wewe tuambie umesogea wapi? Alafu unakaa umeshiba makande unasema amna rekodi za kujitutumua, kama wewe ni mwanaume nenda kafike hata iyo fainali ya iyo looser cup tuone kama ni rahisi!
Na wasipofika hiyo final Kwa timu hizi zinszoshiriki ccfed basi watakuwa wabovu Sana.
 
Ukisema yanga ni mbovu kuliko simba nyuma mwiko watakuja na mawe.
 
Siku yanga akichukua caf champions league utasema mashindano yalikuwa rahisi .
 
Sababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe

2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )

3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya

4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei

Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie

YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Sawa she yahaya watabiri na madunduka wenzao.
 
Atuna rekodi ya kujitutumua? Ebu ficha ujinga wako, unataka rekodi zipi? Umecheza shirikisho ilo kombe la wakinamama na uliishia robo fainali kwa kuchoma uwanja wa watu moto but yanga ameenda pale amecheza fainali sio rekodi? Yanga kakusanya alama 25 ndani ya misimu 2, wewe umekusanya alama 39 kwa misimu 6! Bado unabwata eti atuna rekodi?
Yanga ndani ya misimu 2 katoka nafasi ya 75 kwenye rank za caf mpaka nafasi ya 12 bado sio rekodi?
Yanga anayo medali ya mshindi wa pili confederation cup wewe unayo? Misimu yako 5 nyuma umesogea wapi kimafanikio kwenye michuano ya kimataifa? Wenzako wanaonyesha improvement kutoka hatua Moja kwenda mbele je wewe tuambie umesogea wapi? Alafu unakaa umeshiba makande unasema amna rekodi za kujitutumua, kama wewe ni mwanaume nenda kafike hata iyo fainali ya iyo looser cup tuone kama ni rahisi!
Kombe unalosema la wamama, mwakani wamama wenzako wa jangwani walifika fainali
 
Sababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe

2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )

3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya

4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei

Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie

YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Wote vobonde!
 
Yanga kapakatwa

Yanga kainamishwa

Yanga kagongwa kote kote mbele na nyuma

Haahaahaah
 
Back
Top Bottom