Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe? Maneno gani gami unangea?Tuambie naye kolo kapatwa na jua au mwezi,ama kaingia juani au gizani?Yanga kapakatwa
Yanga kainamishwa
Yanga kagongwa kote kote mbele na nyuma
Haahaahaah
Hutakuja zisikia we endelea kutembeza tu mkong'otoUzuri mmekiri mapema kundi la Yanga gumu ili atakapoanza kutembeza mkong'oto kelele za anacheza na vibonde zisiwepo.
Muda ndio huu unaongea Al Hilal anachukua points zote 3 TaifaYanga hii mnaichukulia poa poa mnailinganisha na timu yenu sio, Akuna ata timu Moja hapo ambayo inatamani kukutana na yanga kwa taarifa yako, Mechi zikianza ndio utafunga mdomo wako, Yanga hii Ina uwezo wa kuchukua point popote pale iwe ugenini ama nyumbani mbele ya hizo timu unazoziabudu, Muda utaongea
Muda ndio huu unaongea Al Hilal anachukua points zote 3 TaifaYanga hii mnaichukulia poa poa mnailinganisha na timu yenu sio, Akuna ata timu Moja hapo ambayo inatamani kukutana na yanga kwa taarifa yako, Mechi zikianza ndio utafunga mdomo wako, Yanga hii Ina uwezo wa kuchukua point popote pale iwe ugenini ama nyumbani mbele ya hizo timu unazoziabudu, Muda utaongea
Ni suala la muda tu utabiri utatimiaHuu ndio ukweli kivyovyote vile kwenye hili kundi Yanga akijitahidi sana atamaliza na points 5 kwahiyo kivyovyote vile lazima ataburuza mkia kwenye hilo kundi
Naiona Yanga ikiangusha ponts nyumbani dhidi ya Al Hilal na Tp Mazembe na ikipigika mechi zote tatu za away
Mweee..kamdomo kamdomoYanga hii mnaichukulia poa poa mnailinganisha na timu yenu sio, Akuna ata timu Moja hapo ambayo inatamani kukutana na yanga kwa taarifa yako, Mechi zikianza ndio utafunga mdomo wako, Yanga hii Ina uwezo wa kuchukua point popote pale iwe ugenini ama nyumbani mbele ya hizo timu unazoziabudu, Muda utaongea
Daah!!! YametimiaSababu
1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe
2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman )
3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya
4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei
Chonde Chonde AL Hilal msikubali kucheza mechi za home hapa Tanzania ili huu Uzi utimie na mahesabu yatimie
YANGA ATASHIKA MKIA hakika!!
Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
daaàhTechnically bila upendeleo wowote sioni yanga akipata point hata 1 katika kundi hilo
Aibu naona mimiYanga hii mnaichukulia poa poa mnailinganisha na timu yenu sio, Akuna ata timu Moja hapo ambayo inatamani kukutana na yanga kwa taarifa yako, Mechi zikianza ndio utafunga mdomo wako, Yanga hii Ina uwezo wa kuchukua point popote pale iwe ugenini ama nyumbani mbele ya hizo timu unazoziabudu, Muda utaongea
Hakika tunashangaa maajabYanga atashinda mechi zote hapo, mtashangaa
Yaan kamdomo kamdomoMweee..kamdomo kamdomo
Hakika hapa Jf sports Mimi ndio mtabiri ambaye Huwa sikosei.....nimetabiri mengi Sanaa na yametimia!!!!, soon nakuja na utabiri mwingine tukukaUtabiri Umetimia Sasa
Fweke fweke fyuuuuuuu!!Muda ndio huu unaongea Al Hilal anachukua points zote 3 Taifa
Wewe bado unaamini kwamba?🤣HAKIKA kwahilo kundi la YANGA nikwamba bingwa hapo niyanga
Amini kwamba??