Yanga atashika mkia kwenye kundi lao, ni kibonde wa kundi

🎵🎵 Hasira za nini we bwana. Wataka kuniua bure eeh bwana 🎶🎵

Povu lote hilo kisa unadhani mpira ni kama mchezo wa draft
 
Jimalize ni sana mashabiki wa mikia ..kengezdad nyie.!
 
Tunashukuru kua umekiri timu zote kwenye kundi ni timu nzuri sana kwa maana hiyo Yanga ndie mbovu, usije kukengeuka baadae useme Yanga kakutana na timu zishajichokea
 
Anajitafuta kuweka historia gani? Simba mwisho robo kwenye kila mashindano, yanga yeye shirikisho fainali na CL ni robo anajitafuta wapi sasa?
 
Kuna mwenzio mhasibu alikuja na maneno yanayofanana na haya, lakini imekuwa tofauti. Tunza hii ije ikutie aibu.


CC: OKW BOBAN SUNZU
 
Utakuwa ndotoni wewe siii buree?
 
Na wasipofika hiyo final Kwa timu hizi zinszoshiriki ccfed basi watakuwa wabovu Sana.
 
Ukisema yanga ni mbovu kuliko simba nyuma mwiko watakuja na mawe.
 
Siku yanga akichukua caf champions league utasema mashindano yalikuwa rahisi .
 
Sawa she yahaya watabiri na madunduka wenzao.
 
Kombe unalosema la wamama, mwakani wamama wenzako wa jangwani walifika fainali
 
Wote vobonde!
 
Yanga kapakatwa

Yanga kainamishwa

Yanga kagongwa kote kote mbele na nyuma

Haahaahaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…