Huyo Mzize mtamlaumu bure tu. Hakupata makuzi sahihi ya kimpira, mmemtoa kwenye kuendesha bodaboda alikuwa kashaachana na mamipira, leo mnataka acheze kama Bebeto.Mbadala wa mzize wapo wengi sana.
Mzize anacheza mbele ya wachezaji wenye quality kubwa kwenye ligi lakini anaboronga.
Sasa wachukue washambuliaji wazawa uwape mechi kumi kila mmoja pale yanga, wakae mbele ya aziz, pacome na max naamini watakuwa magoli sawa au zaidi ya aliyofunga mzize msimu mzima.
Mpumalanga, Republic of South Africa
FC Augsburg wins the friendly match in the Mpumalanga Premier's International Cup against Young Africans SC from Tanzania! FCA TV has the highlights of the game!
#FCAinMpumalanga | #Highlights | Young Africans SC vs. FC Augsburg
View: https://m.youtube.com/watch?v=CDk6m7vreVADer FC Augsburg gewinnt das Testspiel im Rahmen des Mpumalanga Premier's International Cup gegen den Young Africans SC aus Tansania! Das FCA TV hat die Highlights der Partie!
Source : FC Augsburg
Huyu bwana ni mropokaji tuJifunze kuwa na subira wa muda, haya sema tena Boka na Dube bad signing. Wewe sio mchambuzi bali gubuzi.
Saivi yupo bandi bandi na Abuya, ni mvurugaji sana huyu. Saivi watu wengi wameshamjua ni mtu wa ovyo.Huyu bwana ni mropokaji tu
Mzoee na broken yake anajikuta mchambuzi
Alianzia na Gamondi
Sasa hv kaja Kwa Dube na boka
Sasa sijui baada ya leo atakuja na nini
Ni bwege Nazi mmoja hv ,achana naeSaivi yupo bandi bandi na Abuya, ni mvurugaji sana huyu. Saivi watu wengi wameshamjua ni mtu wa ovyo.
Da hii komenti Leo ndo nimeiona... Ni kweli Mzize msimu uliopita alizingua sana hata Mimi kwenye game nilimtukana matusi yote lakini msimu huu naona kaimprove sana .. tutarajie mazuri....Hili jambo nilisema msimu uliopita, nilipiga kelele sana juu ya Mzize hadi nikaonekana nina chuki naye binafsi.
Kama sio upumbavu wa Mzize tungecheza fainali ya CAFCL, ile robo fainali dhidi ya Mamelody tulikuwa tunaimaliza hapahapa nyumbani.
Wakipekee
Juzi Abuya alikuwa mbovu, leo bonge la mchezaji. Hudhani kwamba wewe ndio una matatizo?All other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except;
DUBE
This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves.
DUBE can't press sio Yanga material kabisa.
BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
He needs to cooperate na wengine, despite scoring Baleke can't press, can't assist, ni mzigo kwa team, ie sio YANGA Materials kabisa. Improve au bora Mzize.
GUEDE should have stayed,
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji, the best signing hongera Engineer.
*after thread comments *
- ukisoma comments mashabiki wa yanga are furious. ila Yanga is better without these players.
Unless players improve their performance within the team, then they should be looking for alternatives.
huo ndo ukweli. Acha kulia kulia
Unaaibisha familia yako.ukiona it's too early amna mchezaji hapo
SawaMzize ni mzigo Gamondi ana mahaba naye bado anahita sipana yaani mazoezi yakutosha ya ufundi wa kufunga magoli lakini chetu ni chetu
Za usubuhi mzee wa kidhungu.All other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except;
DUBE
This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves.
DUBE can't press sio Yanga material kabisa.
BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
He needs to cooperate na wengine, despite scoring Baleke can't press, can't assist, ni mzigo kwa team, ie sio YANGA Materials kabisa. Improve au bora Mzize.
GUEDE should have stayed,
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji, the best signing hongera Engineer.
*after thread comments *
- ukisoma comments mashabiki wa yanga are furious. ila Yanga is better without these players.
Unless players improve their performance within the team, then they should be looking for alternatives.
huo ndo ukweli. Acha kulia kulia
Saivi yupo bandi bandi na Abuya, ni mvurugaji sana huyu. Saivi watu wengi wameshamjua ni mtu wa ovyo.
naamini muda huu umeufyataAll other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except;
DUBE
This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves.
DUBE can't press sio Yanga material kabisa.
BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
He needs to cooperate na wengine, despite scoring Baleke can't press, can't assist, ni mzigo kwa team, ie sio YANGA Materials kabisa. Improve au bora Mzize.
GUEDE should have stayed,
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji, the best signing hongera Engineer.
*after thread comments *
- ukisoma comments mashabiki wa yanga are furious. ila Yanga is better without these players.
Unless players improve their performance within the team, then they should be looking for alternatives.
huo ndo ukweli. Acha kulia kulia
Naunga mkono hoja 🤣 😁Uzi unaenda kuwa wa Kihasibu siku sio nyingi.
Mwenyewe anakwambia..Naunga mkono hoja 🤣 😁