Yanga bad signing this season ni Dube, Boka, Chama and Baleke

Yanga bad signing this season ni Dube, Boka, Chama and Baleke

Kinacho mbeba Mzize ni uraia na umri wake labda, lakini naamini hata kocha anakerwa na madudu yake.
Ila hata mimi kwaupande wangu, kwa wachezaji wa zawa, kwenye nafasi anazocheza Mzize, naanza na Mzize, sioni mbadala wake.
Mbadala wa mzize wapo wengi sana.

Mzize anacheza mbele ya wachezaji wenye quality kubwa kwenye ligi lakini anaboronga.

Sasa wachukue washambuliaji wazawa uwape mechi kumi kila mmoja pale yanga, wakae mbele ya aziz, pacome na max naamini watakuwa magoli sawa au zaidi ya aliyofunga mzize msimu mzima.
 
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.

Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Wewe wapime kwa mechi nying,,yeye katumia kipimo Cha mechi Moja,, usiingilie watu kwenye Vipimo vyao
 
Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
mzize is the best attack player yanga have. he just need to be more lethal. he will be deadly soon. that's why azam wants him. he is chaotic.
 
All other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except;

DUBE
This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves.

DUBE can't press sio Yanga material kabisa.

BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far

CHAMA
HE IS OLD

BALEKE
He needs to cooperate na wengine, despite scoring Baleke can't press, can't assist, ni mzigo kwa team, ie sio YANGA Materials kabisa. Improve au bora Mzize.

GUEDE should have stayed,

Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji, the best signing hongera Engineer.

*after thread comments *
- ukisoma comments mashabiki wa yanga are furious. ila Yanga is better without these players.

Unless players improve their performance within the team, then they should be looking for alternatives.

huo ndo ukweli. Acha kulia kulia
Mzee Magoma ndiye atakuwa Mgeni rasmi Simba Day
 
Something wrong upstairs, please check the overview of FC Augsburg
if you have silly excuses. you have a silly life. more than 18 players played for yanga. it's boka who played the least minutes got threatening injury.

a stupid d*mb yanga fan. creating augsburg excuse. pathetic fans. Hard times create strong men.
 
if you have silly excuses. you have a silly life. more than 18 players played for yanga. it's boka who played the least minutes got threatening injury.

a stupid d*mb yanga fan. creating augsburg excuse. pathetic fans. Hard times create strong men.
You do not have knowledge of situational analysis and social inference
 
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.

Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Anaongelea kupress. Dube hajacheza miezi 6, na ni Center forward unategemea umuone vipi?

Kukaba na striker wa kati wapi na wapi?

Anaweza kufanya lakini siyo suala la msingi.

Kiungo, imekatika mabeki wanazidiwa unategemea umuone striker vipi??
 
Anaongelea kupress. Dube hajacheza miezi 6, na ni Center forward unategemea umuone vipi?

Kukaba na striker wa kati wapi na wapi?

Anaweza kufanya lakini siyo suala la msingi.

Kiungo, imekatika mabeki wanazidiwa unategemea umuone striker vipi??
Sureboy bado mzito pale katikati
 
Tatizo mtoa mada kuna wakati huwa analeta mada za mihemko. Ni muda pekee ndiyo utakaosema ukweli.
 
Hii ni preseason muwe mnajiongeza kuficha ujinga mda mwingine, kocha anaandaa kikosi kwa akili ya michuano ijayo ivyo lazima wachezaji wote wacheze, hii sio mechi ya kusaka ushindi ilikuwa ni mechi ya kuangalia timu kiufundi zaidi na mapungufu, Kama wangeshinda ingekuwa bonus angalia na timu waliyocheza nayo
Unasema hamkuwa mnasaka ushindi, mbona baada ya goli la Baleke mlienda kumnyang'anya mpira kipa mkakimbiza kati ili mpira uanze haraka?

Kwanza hii tabia ya kukimbiza mpira kati eti kuokoa muda sijawahi kuielewa ila hilo tuliache kwa leo.
 
Back
Top Bottom