Yanga bad signing this season ni Dube, Boka, Chama and Baleke

Yanga bad signing this season ni Dube, Boka, Chama and Baleke

Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
hata hivyo kwa signing iliyopo, kama kocha atawapa maelekezo vizuri, na wakataka kutumia nafasi vizuri, itakuwa nzuri sana. mfano, goli la pili yanga leo halikutakiwa kufungwa kama mabeki wawili nyuma ya mfungaji wangeenda kumkaba. watu wawili wapo nyuma wanatembea kama hawana miguu.
 
all other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except

DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves

DUBE can't press sio yanga material kabisa

BOKA

he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.

CHAMA
HE IS OLD


BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring
baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie
sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize

abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.


Mpumalanga, Republic of South Africa

FC Augsburg wins the friendly match in the Mpumalanga Premier's International Cup against Young Africans SC from Tanzania! FCA TV has the highlights of the game!

#FCAinMpumalanga | #Highlights | Young Africans SC vs. FC Augsburg


View: https://m.youtube.com/watch?v=CDk6m7vreVA
Der FC Augsburg gewinnt das Testspiel im Rahmen des Mpumalanga Premier's International Cup gegen den Young Africans SC aus Tansania! Das FCA TV hat die Highlights der Partie!

Source : FC Augsburg
 
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.

Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Achana nae huyo
 
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.

Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
Mzee Magoma huyo
 
All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except

DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves

DUBE can't press sio Yanga material kabisa

BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes inmbona the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.

CHAMA
HE IS OLD

BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize

Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Mbona kigiriki na kiyahudi kingi ndugu mwana lunyasiii.
 
All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except

DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves

DUBE can't press sio Yanga material kabisa

BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.

CHAMA
HE IS OLD

BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize

Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Too soon to make judgement!
 
All other signing are the best signing so far. the best players in the pitch except

DUBE
this guy bado anawenge la kuwa yanga. in today match. he was the worst player in the pitch. he lost his aggressiveness . that he used to have in azam. I hope he improves

DUBE can't press sio Yanga material kabisa

BOKA
he was so relaxed on the wing. I think kibabAge will keep the number. he was injured just minutes in the pitch.
huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance.

CHAMA
HE IS OLD

BALEKE
he needs to cooperate na wengine. despite scoring Baleke can't press can't assist. ni mzigo kwa team.
ie sio YANGA Materials kabisa . improve au bora mzize

Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji. the best signing hongera engineer.
Unawezaje kuwahukumu wachezaji kwa mechi ya kwanza ya pre season. Nadhani wapewe muda wazoe timu, ni wachezaji wazuri. Pacome alivyokuja naye hakueleweka ila baada ya muda watu wakaukubali mziki wake.
 
Mzize ni mzigo Gamondi ana mahaba naye bado anahita sipana yaani mazoezi yakutosha ya ufundi wa kufunga magoli lakini chetu ni chetu
Kinacho mbeba Mzize ni uraia na umri wake labda, lakini naamini hata kocha anakerwa na madudu yake.
Ila hata mimi kwaupande wangu, kwa wachezaji wa zawa, kwenye nafasi anazocheza Mzize, naanza na Mzize, sioni mbadala wake.
Mzize ndani anacheza kwa morali,akikaribia goli,hawezi kabisa kufunga,yaani kwakweli asiwe anawekwa kwenye mechi muhimu,anakera sana.
 
Hii ni preseason muwe mnajiongeza kuficha ujinga mda mwingine, kocha anaandaa kikosi kwa akili ya michuano ijayo ivyo lazima wachezaji wote wacheze, hii sio mechi ya kusaka ushindi ilikuwa ni mechi ya kuangalia timu kiufundi zaidi na mapungufu, Kama wangeshinda ingekuwa bonus angalia na timu waliyocheza nayo
Mzize ndiye mshambuliaji aliyecheza muda mwingi zaidi pale yanga msimu uliopita, na ndiye mshambuliaji mwenye performance mbovu kuliko hata waliocheza muda mchache.

Alichokifanya leo uwanjani ndicho anachokifanya siku zote, muda aliopewa unatosha, aende club inayoenda na ubora wake
 
Mzize ndani anacheza kwa morali,akikaribia goli,hawezi kabisa kufunga,yaani kwakweli asiwe anawekwa kwenye mechi muhimu,anakera sana.
Muda aliopewa unatosha, huwezi kumpa dakika 80 mshambuliaji butu kama mzize tena kwa club kubwa kama yanga
 
Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
Hatuwezi kuwa na mshambuliaji butu kama huyo na tukaendelea kumvumilia. Amepewa nafasi kubwa sana msimu uliopita lakini hajaonekana ku improve kwa chochote.
 
Shida hamtaki kuambiwa ukweli Vyura FC
Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.

Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
 
Back
Top Bottom