mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwa mfano wako huu, basi hata walimu waanze kulipwa mishahara na posho nono kama zile za wabunge.
Maana wanafanya kazi katika mazingira magumu, ukilinganisha na wabunge ambao kazi yao kubwa ni kugonga tu meza na kuitikia 'ndiyooooooo'!!
NB: mshahara kwa mchezaji unatokana na yeye mwenyewe kukaa mezani na mwajiri wake, halafu wanafanya makubaliano.
Duniani kote mishahara ya wachezaji huwa hailingani. Kila mchezaji hulipwa mshahara kutokana na mkataba wake alioingia na club. Hakuna njia ya mkato kama hiyo ya Fei Toto.
Tate Mkuu
Kizuri chajiuza, yanga wasipoiona thamani fei atawatoka ilhali bado wanamtaka