Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hoja π€£πMuda where?πππ Labda alimaanisha Mudathir ataongea π
Hakika Mungu ni mkuu, makolo wamekimbia.Natumai Mungu amekujalia uzima ndugu
Kuanzisha nyuzi kama hizi inabidi uwe na akili kama za mwendawazimu sasa li uzi limekudodea na Yanga ndio anaongoza league bila huyo Mayele sijui unasikiaje au maumivu yamekaaje uko..Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
AseeKuanzisha nyuzi kama hizi inabidi uwe na akili kama za mwendawazimu sasa li uzi limekudodea na Yanga ndio anaongoza league bila huyo Mayele sijui unasikiaje au maumivu yamekaaje uko..
Kamanda! Umeyatimba huku!! π±Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Hata wewe ulidiriki kusema hivi? Hukujua kuwa Yanga ni Tasisi kubwa?Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Ligi bado mkuuKamanda! Umeyatimba huku!! π±
Mbona kinyonge sana .....Kwani ligi imeisha jamani ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo nipo katika harakati ya kutembelea nyuzi zenye maudhui ya kufukua makaburi
Kamanda ulikuwa umelewa siku unatuma huu uharo?Ligi bado mkuu
AaahaaaLigi bado mkuu
Ndio kama ulivyosikiaAaahaaa
Ni mwendo wa kufufua tu πMfufua Nyuzi ID yako imekaa kibabe