Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Kuanzisha nyuzi kama hizi inabidi uwe na akili kama za mwendawazimu sasa li uzi limekudodea na Yanga ndio anaongoza league bila huyo Mayele sijui unasikiaje au maumivu yamekaaje uko..
 
Kuanzisha nyuzi kama hizi inabidi uwe na akili kama za mwendawazimu sasa li uzi limekudodea na Yanga ndio anaongoza league bila huyo Mayele sijui unasikiaje au maumivu yamekaaje uko..
Asee
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Kamanda! Umeyatimba huku!! ๐Ÿ˜ฑ
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
20240308_095940.jpg
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Hata wewe ulidiriki kusema hivi? Hukujua kuwa Yanga ni Tasisi kubwa?
 
Hii nchi ndo maana tuko maskini sana badala vijana watumie elimu zao kuliletea taifa maendeleo wao wako busy kupiga ramli chonganishi kama hizi. Ovyo sana
 
Back
Top Bottom