sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Tuache kujipa moyo eti mfumo wetu tunaweza shinda bila namba 9 mwenye quality ya juu. Pengo linaonekana harry kane au haaland anahitajika. Hakuna timu duniani imechukua kombe kubwa bila kuwa na namba 9 wa maana.
Mzize, Konkoni na Musonda wameprove failure.
Mzize, Konkoni na Musonda wameprove failure.